Natuma salam na wewe njoo utume zako

Natuma salam na wewe njoo utume zako

Heri ya mwaka mpya wana jamii watu wa maana na mitakataka yote

salam zangu za kwanza ziende kwa dada yangu Khantwe
ujumbe hata kama hujanialika mimi nitakula tu ubwabwa kwa jirani

salam zangu za pili ziende kwa espy ujumbe we nidanganye tu kama utanipenda maana sitaki kuambiwa ukweli

salam zangu za tatu zikufuate Thad ujumbe wewe tupange tu hata tukiwa kumi mimi sijalii sina habari leo nitakula wali na kachumbari

salam zangu za nne ziende kwa Mafikizolo we nilikwambia kama utanipenda vyote vilivyobaki nitacover
asilimia sabini ya mwili wangu umejaa maji asilimia 30 nakupenda wewe

salam zangu za tano ziende kwa Madame B ujumbe dodoma ukumbuke kinga kama mimi navyozikumbuka

salam zangu za sita ziende kwa Sweet16 ujumbe hata kwa pm nikumbuke japo najua namba yangu umefuta na ukaiblock

salam zangu za saba ziende kwa Sky Eclat ujumbe eti kisa babu

salam zangu za nane ziende kwa anayejiita Daby ahsante kwa kunifitinisha na dadaako poa poa tu

salam za tisa ziende kwa Evelyn Salt ujumbe we unajua deep and down kwamba nilijiunga ili nikupate ww

salamu zangu za kumi ziende kwa mpwa wangu Shunie ujumbe kazi yako niliiona na naikumbuka upo kama pele ujumbe uwe unawahi kulala ukue

salam zangu za kumi na moja ziende kwako ww
ujumbe tusiogope kufa mwaka huu kwani kufa kama kulala tu na makaburi kama matuta
Anko asante [emoji8][emoji8][emoji8] na kwako pia unajua vile nakupenda sasa anko kazi gani hiyo ambayo uliiona lakini, kuwahi kulala nitajitahidi anko wangu nikue zaidi ya hapa napendaga vile unanifukuza niwahi kulala tu anko na mpwae [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Salam zangu kwa wana jf wote muwe na mwaka wenye mafanikio tele.
 
Hahahahhaha
Salam zangu za kipekee ziwaendee wote wenye roho nzuri na upendo.ujumbe msichoke kutenda wema na kujali wenzenu japo binaadamu hawabebeki kama gunia la mbigiri.

Salam zangu za pili ziwaendee wale wote wenye roho mbaya,chuki na vijiba,ujumbe mtabana sana lakini tutatoboa tu kwa uwezo wa jalali.

Salam za tatu ziwafikie wale wote mnaonidai,ujumbe tutafutane kuanzia mwezi ujao watu wa mungu,huu mwezi mgumu kwa wote,tustahamiliane.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
..
Salamu zangu za pekee ziwaendee wafuatao.,
Avatar mok
Kaka shemeji sumbai.
General Mangi
Relief Mirzska
Kiben10 changu 4G LTE
Mama la mama cute b
Swahiba Viatu vya Samaki
Muunga Juhudi
My friend Cole Williams
Manga ML
Da'Vinci
Shunie
Maserati
Mzigua90
Ujumbe, Mwaka huu ukawe wa mafanikio kwenu.
Heri ya mwaka mpya shem.

Ninacho kiomba mwaka huu ni kwamba ushemeji wetu ukue uzidi kukua. Ikiwezekana uende next level.

Hahah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
espy mkao uliokaa tukampata Douta naomba tuutumie 2019.
Heaven Sent Unajua vile nakupenda.
gorgeousmimi Missing you rafiki
Khantwe Udangaji wako ndo uwa unanipa hasira zaidi ya kupambana..Usiache
Valentina Jirani..Hatujauaga mwaka 2018 wala kuukaribisha 2019..Tusiwe wazembe kiasi hicho
Mzigua90 Japo foleni imekuwa kubwa ila unajua penyewe tumetoka.
Evelyn Salt Zawadi uliyoniahidi kunipatia ukimaliza form4 hadi leo kimya mpendwa..Sijui unajifelisha usimalize
BADILI TABIA 2019 usijifiche sana mpendwa..Hata kwenye kwaya sikuoni
Roger Sterling Heri ya mwaka mpya bro
cute b 2019 isipite bila ndoa..Ikibidi mtolee jamaa mahari umuoe kama anazingua..cc sumbai
Hahahahahaha rtd bazazi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salamu zangu za dhati kabisaaaa zimuendee muumba wangu aliye juu namwambia ahsante sana kwa kunipa nafasi nyingine na namuahidi sitachoka kumtumikia. NAMPENDA SANA
 
Back
Top Bottom