Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Salamu hizi ni kwa Wanachadema tu , wewe subiri salamu za BashiruTunataka kujua chairman yupo wapi mbaguzi mkubwa wee utazikwa na chadema tu!
Wacha weee !! mkuu kama unaongea kwa mafumbo basi sawa , maana waliokufa wanafahamikaMmeanza kufufuka siyo? Hakuna CHADEMA, ishajifia tangu enzi zile za DR. SLAA.
CCM imeuwa uchumi wa nchi hadi sasa mpunga wa mwaka juzi haujauzwa , umejaa kwenye maghala ya wakulimaAhsante.
Wasalimie Bawacha na bavicha wa hapo Kyela!
Hili ni jukwaa la siasa mkuuMbona mnaleta mambo yenu ya vyama hapa kwani hivyo vyama vinawalisha? au vinawapeleka mbinguni ? Wa Africa ni watu wa ovyo sana wanasiasa wanawatumieni kwa maslahi yao binafsi wenzenu wanapiga hela nyinyi mnabaki kuwa bongolala wake up brothers
Hallelujah amefufuka kwelikweliUtukufu wa Mungu ni wa ajabu sana ! Hatimaye Masiah amefufuka kutoka katika Wafu , Ufufuko wake unaifanya dunia yote kusherehekea kwa furaha na shangwe kuu !
Basi kwa vile siku ya Pasaka ni sikukuu basi natumia ukurasa huu kuwatakia heri ya sikukuu VIONGOZI , WANACHAMA na WAPENZI WOTE wa Chadema dunia nzima .
Sherehekeeni kwa Amani na utulivu.
Mungu ibariki Chadema
Tuna amani tele. Yesu wa Yerusalem amefufuka ila yesu wa chato bado yuko kwenye mabanzi.Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana ! Hatimaye Masiah amefufuka kutoka katika Wafu , Ufufuko wake unaifanya dunia yote kusherehekea kwa furaha na shangwe kuu !
Basi kwa vile siku ya Pasaka ni sikukuu basi natumia ukurasa huu kuwatakia heri ya sikukuu VIONGOZI , WANACHAMA na WAPENZI WOTE wa Chadema dunia nzima .
Sherehekeeni kwa Amani na utulivu.
Mungu ibariki Chadema
Tuondolee upumbavu wako hapa. Msilazimishe kupendwa,wezi wa kura mtadondoka mmoja baada ya mwingineTunataka kujua chairman yupo wapi mbaguzi mkubwa wee utazikwa na chadema tu!
Wewe mbwa koko wa kizungu kwani kosa lake nini kuwapa salamu ndugu zake? Na ya Waafrika tuachie wenyewe.Mbona mnaleta mambo yenu ya vyama hapa kwani hivyo vyama vinawalisha? au vinawapeleka mbinguni ? Wa Africa ni watu wa ovyo sana wanasiasa wanawatumieni kwa maslahi yao binafsi wenzenu wanapiga hela nyinyi mnabaki kuwa bongolala wake up brothers
Mbunge viti maalum kweli nimeamini. Hilo ni jiko, stoo au ni bafu?Hili ni jukwaa la siasa mkuu
View attachment 1742678
Mbona umepanic? Kosa lake nikuleta ubaguzi wa vyama na wasio na vyama upuuzi kama Huu umeona wapi unafanywa ingekuwa mtoa mada ni kiongozi wa chama atleast inamake sense Nyerere ajawahi kujenga Taifa linalobaguana kwa itikadi ya vyama.Wewe mbwa koko wa kizungu kwani kosa lake nini kuwapa salamu ndugu zake? Na ya Waafrika tuachie wenyewe.
Hata kama adui yako mwombee heri,siku moja utatambua umuhimu wake,kwako.Mmeanza kufufuka siyo? Hakuna CHADEMA, ishajifia tangu enzi zile za DR. SLAA.
Tunataka kujua chairman yupo wapi mbaguzi mkubwa wee utazikwa na chadema tu!
Chama Cha WachaggaUtukufu wa Mungu ni wa ajabu sana ! Hatimaye Masiah amefufuka kutoka katika Wafu , Ufufuko wake unaifanya dunia yote kusherehekea kwa furaha na shangwe kuu !
Basi kwa vile siku ya Pasaka ni sikukuu basi natumia ukurasa huu kuwatakia heri ya sikukuu VIONGOZI , WANACHAMA na WAPENZI WOTE wa Chadema dunia nzima .
Sherehekeeni kwa Amani na utulivu.
Mungu ibariki Chadema