Natuma salamu za Pasaka kwa Viongozi na wafuasi wa Chadema popote walipo duniani

Natuma salamu za Pasaka kwa Viongozi na wafuasi wa Chadema popote walipo duniani

Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana ! Hatimaye Masiah amefufuka kutoka katika Wafu , Ufufuko wake unaifanya dunia yote kusherehekea kwa furaha na shangwe kuu !

Basi kwa vile siku ya Pasaka ni sikukuu basi natumia ukurasa huu kuwatakia heri ya sikukuu VIONGOZI , WANACHAMA na WAPENZI WOTE wa Chadema dunia nzima .

Sherehekeeni kwa Amani na utulivu.

Mungu ibariki Chadema
Acha ubaguzi mama.
 
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana ! Hatimaye Masiah amefufuka kutoka katika Wafu , Ufufuko wake unaifanya dunia yote kusherehekea kwa furaha na shangwe kuu !

Basi kwa vile siku ya Pasaka ni sikukuu basi natumia ukurasa huu kuwatakia heri ya sikukuu VIONGOZI , WANACHAMA na WAPENZI WOTE wa Chadema dunia nzima .

Sherehekeeni kwa Amani na utulivu.

Mungu ibariki Chadema
Mbowe yuko wapi?
 
Back
Top Bottom