Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Kumbe hii I'd ya mnyika!Salamu hizi ni kwa Wanachadema tu , wewe subiri salamu za Bashiru
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe hii I'd ya mnyika!Salamu hizi ni kwa Wanachadema tu , wewe subiri salamu za Bashiru
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jamaa kajikaza kisabuni kaungua ulimi kuonja awaachie wa mamaMbunge viti maalum kweli nimeamini. Hilo ni jiko, stoo au ni bafu?
plastic la mchele kwa Sasa tsh.ngapi huko mkuu.CCM imeuwa uchumi wa nchi hadi sasa mpunga wa mwaka juzi haujauzwa , umejaa kwenye maghala ya wakulima
Ndio vizur hakuna njaa!CCM imeuwa uchumi wa nchi hadi sasa mpunga wa mwaka juzi haujauzwa , umejaa kwenye maghala ya wakulima
Umeagiza ulanzi ama komoni!Hallelujah amefufuka kwelikweli
Umekariri maneno!Mudawote yuko wapi?vipi TumainE na Stroke wamekukimbia??
Mshahara wa dhambi ni mauti. Mlimshabikia akitenda dhambi sasa amewaacha watoto yatima. Poleni.
Vuta bangi hadharani haya ndio madhara ya kujificha!Tuondolee upumbavu wako hapa. Msilazimishe kupendwa,wezi wa kura mtadondoka mmoja baada ya mwingine
Uko enzi za maweChama Cha Wachagga
😆😆😆 hali ni mbaya sana , ukifika Kyela nicheki nitakupa bureplastic la mchele kwa Sasa tsh.ngapi huko mkuu.
Acha ubaguzi mama.Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana ! Hatimaye Masiah amefufuka kutoka katika Wafu , Ufufuko wake unaifanya dunia yote kusherehekea kwa furaha na shangwe kuu !
Basi kwa vile siku ya Pasaka ni sikukuu basi natumia ukurasa huu kuwatakia heri ya sikukuu VIONGOZI , WANACHAMA na WAPENZI WOTE wa Chadema dunia nzima .
Sherehekeeni kwa Amani na utulivu.
Mungu ibariki Chadema
Upo Kyela au upo mjini ? Hotel Desderia!😆😆😆 hali ni mbaya sana , ukifika Kyela nicheki nitakupa bure
Achana na porojo za wajinga , njoo Kajunjumele uliza mtu yeyote kuhusu tajiri wa Chadema utaletwa nyumbaniUpo Kyela au upo mjini ? Hotel Desderia!
Mbona kuna jamaa anaekomaa kuwa umeajiriwa Hotel Desderia ?Achana na porojo za wajinga , njoo Kajunjumele uliza mtu yeyote kuhusu tajiri wa Chadema utaletwa nyumbani
Mbowe yuko wapi?Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana ! Hatimaye Masiah amefufuka kutoka katika Wafu , Ufufuko wake unaifanya dunia yote kusherehekea kwa furaha na shangwe kuu !
Basi kwa vile siku ya Pasaka ni sikukuu basi natumia ukurasa huu kuwatakia heri ya sikukuu VIONGOZI , WANACHAMA na WAPENZI WOTE wa Chadema dunia nzima .
Sherehekeeni kwa Amani na utulivu.
Mungu ibariki Chadema
Uko sahihi kabisa.Mbona kuna jamaa anaekomaa kuwa umeajiriwa Hotel Desderia ?
huyo mlinzi wa geti la lumumba asikupotosheMbona kuna jamaa anaekomaa kuwa umeajiriwa Hotel Desderia ?
Ahaaaa.huyo mlinzi wa geti la lumumba asikupotoshe