Natumia Iphone 7 plus ila haifungui Social Media Mpaka Na Data

Natumia Iphone 7 plus ila haifungui Social Media Mpaka Na Data

COLTAN

Senior Member
Joined
Mar 13, 2023
Posts
196
Reaction score
187
Habarini. Natumia iphone 7 plus nikifungua whatsapp,Facebook,instagram,tiktok. Mpaka niwe na Data’ wakati iphone zingine hata kama hauna data zinafungua whatsapp,facebook,IG.
 

Attachments

  • D79A9C50-6391-4E28-9B91-9A499FCAB330.png
    D79A9C50-6391-4E28-9B91-9A499FCAB330.png
    2.2 MB · Views: 2
Habarini. Natumia iphone 7 plus nikifungua whatsapp,Facebook,instagram,tiktok. Mpaka niwe na Data’ wakati iphone zingine hata kama hauna data zinafungua whatsapp,facebook,IG.
Hakuna simu ambayo kama hauna internet unaweza kufungua kitu chochote kwenye hiyo mitandao uliyosema. Labda kama ilibakia kama kumbukumbu kwenye app husika itafungua ili hutaweza kuendelea mbele ya hapo.
 
May be if we tell people the brain is an app …………….
 

Attachments

  • IMG_8868.jpeg
    IMG_8868.jpeg
    60.5 KB · Views: 3
Hakuna simu ambayo kama hauna internet unaweza kufungua kitu chochote kwenye hiyo mitandao uliyosema. Labda kama ilibakia kama kumbukumbu kwenye app husika itafungua ili hutaweza kuendelea mbele ya hapo.
COLTAN anashindwa kuingia kwenye app za social media pindi hana data. Siyo kutumia hizo app bali hata kuingia tu.
Kwa mfano wewe ukiwa umezima au huna data ila unataka kuingia Watsap kuchungulia meseji zako za awali, Watsap ikagoma kufunguka
 
COLTAN cha kufanya washa data kisha ingia kwenye app ya apple store kisha tafuta social media app unayotaka kutumia, kuna weza kukawa na maneno mawili kati ya haya 'uninstall na update' AU 'uninstall na open/launch'
Ukikuta kuna open/launch, basi gusa hapo kufungua application yako.
Ukikuta update, itabidi uguse ili ku-padate kisha uta-open/launch.
Mimi siyo mtumiaji wa iPhone ila kwa hiyo screenshot nilivyoielewa, jibu lake ndilo hili
 
Habarini. Natumia iphone 7 plus nikifungua whatsapp,Facebook,instagram,tiktok. Mpaka niwe na Data’ wakati iphone zingine hata kama hauna data zinafungua whatsapp,facebook,IG.
Mkuu kama youtube inafunguka Ingia youtube hata kwa kutumia simu ya jirani.

Kwenye search bar pale youtube, andika maneno yaliyopo kwenye huo ujumbe unaoletewa. mfano "Unable to verify App."

baada ya hapo utakutana na video kadhaa zikielezea namna ya kutatua tatizo hilo.
 
COLTAN anashindwa kuingia kwenye app za social media pindi hana data. Siyo kutumia hizo app bali hata kuingia tu.
Kwa mfano wewe ukiwa umezima au huna data ila unataka kuingia Watsap kuchungulia meseji zako za awali, Watsap ikagoma kufunguka
Huyu Ndo Amenielewa.Exactly Kabisa.
Thank you My Brother.
 
Back
Top Bottom