Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Niwakati sasa Watanzania kuzinduka. Kila kitu tunacho kikubwa ni kuamua tu.Mungu mkubwa, hizi ni baadhi tu ya neema tulizopewa. Tuzitunze na kuzithamini kwani ni mtaji wa kutosha
Kuna watu dunia hii ukiwaambia ndizi zinavunwa ardhini kama karanga wanaamini, ukiwaambia usafiri wetu ni tembo hatuna magari wanashangaa na kuamini hahahaa, kuna watu wanaona kwenye TV tu na sisi tunaona kawaida tu.Niwakati sasa Watanzania kuzinduka. Kila kitu tunacho kikubwa ni kuamua tu
Hahaha Kizuri kinajitangaza.Hahaha hii nimeipenda sana Geza Ulole Sijui kwanini kina MOTOCHINI hawajaja kukupa nguvu kuitangaza Tanzania
Naona Olduvai imeamsha Watanzania kuitangaza nchi yao Safi sana
Nimeipenda hiyo. Tanzania tumebaki kuamua tu. Na nadhani tumeamua sasa.Kuna watu dunia hii ukiwaambia ndizi zinavunwa ardhini kama karanga wanaamini, ukiwaambia usafiri wetu ni tembo hatuna magari wanashangaa na kuamini hahahaa, kuna watu wanaona kwenye TV tu na sisi tunaona kawaida tu.
Tujivunie utajiri wetu.
Malizia #FoundInTanzaniaNotKenyaChemka hot spring, hii ipo kilometer 40 ukitokia Moshi mjini Kuelekea Arusha kwa njia ya Barabara. chemchem hii imechua jina la kijiji iliyopo. Maji yake ni ya uvuguvugu na masafi sana, yametengeneza bwawa zuri lililo chini ya miti, bwawa hili lina kina cha mita saba (7)
Iwe wewe ni Mtanzania au Mzungu njoo hapa and you ll have the time of your life.
View attachment 328185
Wakenya, Waganda na warwanda hujawaalika watembee Chemka Hotsprings, ni wazungu tu?Acha ubaguzi, mtalii ni mtalii tu bora hela anatoa.Chemka hot spring, hii ipo kilometer 40 ukitokia Moshi mjini Kuelekea Arusha kwa njia ya Barabara. chemchem hii imechua jina la kijiji iliyopo. Maji yake ni ya uvuguvugu na masafi sana, yametengeneza bwawa zuri lililo chini ya miti, bwawa hili lina kina cha mita saba (7)
Iwe wewe ni Mtanzania au Mzungu njoo hapa and you ll have the time of your life.
View attachment 328185
Kwahiyo mimi nikubandikie attraction zenu? Una wazimu! A truly lazy-ass indeedSielewi mbona mleta mada ameandika Kenya vs tz kwenye kichwa cha mada.Mimi naona natural attraction za tz tu.Zinavutia kweli,lakini mleta mada amekosea,kichwa cha uzi kingefaa kuwa Natural Attractions in tanzania.Hio ingekuwa imetosha tu!