Kama vipi hairisha net ikikubali mtaendeleaJibu maswali basi girla!
DJ sepetu
Nikusaidie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha nipite bhana maana nilikuwa na msubiri huyo kisula nimuone kama naweza kurusha ndoano naona kimya.
Uliposema k'njaro au mpare!!
Unamkumbuka baba na mama kwa lip!!?
Yupi amekuathiri kitabia?
DJ sepetu
Kwa wazaz wangu amna alie niathir chochote kile kibaya wote wamenilea vizur na nimeish sana na mamy wangu kuliko babaUtansame sichelew kwa makusud network ndo inanzingua apa
Yethuu! mbona utaniuwa sasa?Wewe ndio una umuhimu zaidi
WasalimieAcha niwapishe na interview yenu nitarudi warembo wakijaa hadi pomoni nijaribu bahati yangu
Nakupenda joaWewe ndio una umuhimu zaidi
Mods nisaidieni kumtumbua Numbi..(jokes)Tangu otieno aibuke kusikojulikana akisaidiana na richard abdala
Kaz tu ziliwatengansha kwa mda na kwakua nampenda sana mamy wang nkaish nae kwa mda mrefuKukuathiri ni positive pia
Bila shaka mama!
Anhaa kwann uliishi na mamy zaidi
Where was Dad!?
DJ sepetu
Kipi kilikufanya uchague kuishi na mama zaidi kuliko baba!!?Kaz tu ziliwatengansha kwa mda na kwakua nampenda sana mamy wang nkaish nae kwa mda mrefu
Mods nisaidieni kumtumbua Numbi..(jokes)
[emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14]
Nmependa kuish na mamy wang yan kutoka tu ndan ya moyo! Na kama unavyo elewa mother kila mtu ana mpend ndo maana wanasemaga nan kama mama japokua na dady wangu nampend sana tu.Kipi kilikufanya uchague kuishi na mama zaidi kuliko baba!!?
Kwa kutokuwepo baba nn ulikosa!?
Mama unamthamini kwa mambo yepi matatu mathalani!
DJ sepetu
Hongera kwa mama wenye upendo kwa watoto!!Nmependa kuish na mamy wang yan kutoka tu ndan ya moyo! Na kama unavyo elewa mother kila mtu ana mpend ndo maana wanasemaga nan kama mama japokua na dady wangu nampend sana tu.
Alafu kutokuwepo na dady kunavitu tu nlkuwa nafanya ambavy vlkuwa n makosa na kwakua mamy wang nmemzoea kwaiyo sikuwa naogopa sana kama ambavyo dady angekuwepo.
Na pia namthamin mamy wang kwa kunzaa na kuntunza vizur mpaka hapa nilipo na, upendo wake kwangu malez yake mpka now nainjoy sana, nafkir nmekujb vizur???
Otieno katuharibia sana[emoji23][emoji23][emoji23]
Numbisa why muosha azimie kwani huko pia umesuka minyoosho?Usije zimiaView attachment 586238
naskiq haruifu ka kuna kitu kinaungua..[emoji9] [emoji9]
Elimu yang n ya chuo tu!!! alf me n enterprenuer nimejiajir mwenyewe tu maana ajira n shdaHongera kwa mama wenye upendo kwa watoto!!
Elimu yako ni ya ngazi gani!?
Na kwa sasa unajishughulisha na kitu gani!?
DJ sepetu