Nipo dada ila mwenzenu mihangaiko miingi na nawahi kulala pia hivyo unakuta muda nikiamka nishapitwa page zaidi ya 10 hivi hivyo unakuta nashindwa kwenda na nyie sambamba.Mana nakuona kwa mbali sana ujue dada akee
Mkuu endelea interview na Natural girls.Kwann unajiita kichwa kichafu
DJ sepetu
Shunie nakuona kwa jicho yakinifuni.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umbea utakulaza njaa eti[emoji41]
Sawa dada akee tupo pamojaNipo dada ila mwenzenu mihangaiko miingi na nawahi kulala pia hivyo unakuta muda nikiamka nishapitwa page zaidi ya 10 hivi hivyo unakuta nashindwa kwenda na nyie sambamba.
Ondoa shaka nipo nduguyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu endelea interview na Natural girls.
Unaweza sababisha fans wako wakasahau interview ya huyo bebe.
Nawe wataka nikuite eeh [emoji23][emoji23][emoji23]Umemtag dada yangu ila umeniacha mimi
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
[emoji23][emoji23][emoji23]Shem nashukuru sija qualify kwa team udaku[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Usijali nipo ila macho yameshaanza kuuma mbona muinterviewa hajafika mpaka sasa.Sawa dada akee tupo pamoja
Safi sana[emoji23][emoji23][emoji23]Nilikua napika nimefunikia kabisaaa,nipate ubuyu kidogoView attachment 586231
Anasema anatumiwa pm hukohalafu lazima kila muintaviwa aweke picha yake...sio linakuja dume hapa na mindevu yake unaliintaviu tunadhan dada..
Uwe unaniwahiaNimewahi siti
Dogo nakutafuta ujueMuosha rungu kazini na warembo wa jf
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nilimsahau KK tuTeam ubuyuuuu,mie na wewe tena tumetoka mbaaaliiiView attachment 586234
Umeanza sasa subiri jamanUsijali nipo ila macho yameshaanza kuuma mbona muinterviewa hajafika mpaka sasa.
Kulikoni?