Nature preserved! Only for nature lovers

.
 

Attachments

  • FB_IMG_1687053293547.jpg
    77.4 KB · Views: 9
Kwani matumizi ya mkaa, mbao, kuni na kilimo kila siku zinateketea hekta ngapi za miti? Kama umeshafika hapo kwenye Bwawa hakuna athari kubwa kama wanasiasa na wanaharakati walivyokuwa wanatishia, tunakata miti kila kukicha na hatulalamiki
Athari za kukata miti ni long terms huwezi kuona kkwa muda huo huo, Al gore miaka ya 2000 aliwahi kuongea kuwa baada ya miaka 30 kungekuwa hakuna barafu kwenye mlima kilimanjaro, l hata miaka 20 haikupita barafu haipo pale juu.
Miti iliyokatwa kupisha ujenzi wa bwawa ilikuwa kwenye concetration , madhara yake ni makubwa kuliko miti ya mkaa amabayo inakatwa sehemu tofauti tofauti.
 
Miti iliyokatwa kupisha ujenzi wa bwawa ilikuwa kwenye concetration , madhara yake ni makubwa kuliko miti ya mkaa amabayo inakatwa sehemu tofauti tofauti.[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yumbani kwake Minas Gerais, Brazili, Sebastião alikuwa na matumaini ya kupata kitulizo katika msitu wa kijani kibichi wa utoto wake. Badala yake, aligundua kwamba nyumba yake ilikuwa imegeuka kuwa nchi yenye vumbi, isiyo na watu kwa maili na maili nyingi, isiyo na wanyamapori wowote.

"Ardhi ilikuwa mgonjwa kama mimi. Ni takribani 0.5% ya ardhi iliyofunikwa na miti," alisema.

Ilikuwa wakati huo ambapo mke wake, Lélia Deluiz Wanick Salgado, alipendekeza wapande tena msitu mzima. Sebastião aliunga mkono wazo hilo, na wawili hao walitumia miaka 20 iliyofuata kupanda miti milioni 2.7.

Hilo lilitokeza kurejeshwa kwa ekari 1,500 za msitu wa mvua, na hatimaye eneo hilo likawa makao ya spishi 293 za mimea, spishi 172 za ndege, na aina 33 za wanyama, baadhi yao wakiwa kwenye hatihati ya kutoweka.
 

Attachments

  • 20230627_015141.jpg
    97 KB · Views: 18
  • 20230627_015145.jpg
    116.7 KB · Views: 18
Je, unajua kuwa hekta moja ya mikoko ina uwezo wa kufyonza tani 3,754 za kaboni, sawa na kaboni inayotoka kwenye magari zaidi ya 2,650 kwa mwaka?

Vile vile mikoko hulinda mamilioni ya watu wanaoishi katika jamii za pwani na kutoa makazi kwa viumbe vya baharini. Hata hivyo, zinatoweka kwa kasi ya kutisha.

Siku ya Jumatano ya Mikoko #MangroveDay, jiunge na UNESCO katika kutaka hatua za haraka zichukuliwe ili kulinda mifumo hii ya ajabu ya ikolojia. . International Day for the Conservation of the Mangrove Ecosystem

📸 Pichani ni fahari ya #Tanzania, katika hifadhi ya mikoko Bagamoyo. Fredy Njeje Photography
 

Attachments

  • FB_IMG_1690486054161.jpg
    82.5 KB · Views: 11
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…