Kati ya miti ml 300. Ratio ndogo sana hiyo usiwaze sanaBado hatujajua maana..! Tulikata miti milion 2 ili tujenge bwawa la kufua umeme wa maji.. Imagine miti 2,000,000
May i have the contact of the black beauty...Nubian
Sio wote mkuu mm kwa kipindi 2014 had 2021 nimepanda ekari zaidi ya 100Kata mti panda mti, Hii slogan watanzania tunaipuuza sana, mti ni uhai
Ubarikiwe kiongoziSio wote mkuu mm kwa kipindi 2014 had 2021 nimepanda ekari zaidi ya 100