Ziwa Natron huko Tanzania ni ziwa linaloonekana zuri kwa sababu kinakaribia kuwa rangi ya pinki na ni nyumbani kwa flamingo wenye rangi ya pinki inayofanana nao,
Mbali na uzuri wa muonekano wa ziwa Natron lakini watu hawaruhusiwi kuogelea katika Ziwa Natron kwa sababu ya viwango vikubwa vya alkaline inayofika mpaka pH ya 10.5 ambacho ni sawa na ammonia. Kuweka kirahisi ni kwamba ukiogelea kwenye
Ziwa Natron basi maji yake yatachoma ngozi ya wanadamu na wanyama wengi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.