Nature preserved! Only for nature lovers

Nature preserved! Only for nature lovers

f95ddb2334fce19a50e614f5cd16c277.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
𝗥𝗶𝘃𝗲𝗿 𝗖𝗼𝗻𝗴𝗼 ✓ Ni
Mto mpana zaidi barani Afrika, kwa upana wake, KM 13 ✓

Ni mto wenye kina kirefu zaidi Duniani; kwa kina kirefu zaidi, kina kina cha Mita 220 Yaani, kina karibu mara 4 kuliko kina kirefu cha Ziwa Victoria ✓

Ni mto wa 2 kwa ukubwa duniani kwa kutokwa na maji, wastani wa kutokwa kwake ni Mita za ujazo 41,200 kwa Sekunde. Hiyo ni; Lita 41,200,000 kwa Sekunde kuingia katika Bahari ya Atlantiki kutoka Mto Kongo


FB_IMG_1707376878863.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom