Nature ya written questions for interview UDOM

Nature ya written questions for interview UDOM

Magoo

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2011
Posts
445
Reaction score
72
Habari wana JF
Nilituma maombi ya kazi pale UDOM nafasi ya taaluma katika college ya Mathematics & Natural Sciences, ninafikiri nitaitwa kwenye interview labda kama barua yangu haikufika mahala husika. Naomba msaada wenu kwa wale waliokwisha fanya interview za tutorial assistants ama assistant lecturer katika college zingine aina ya maswali kama ni ya kiacademic zaidi nirudi kwenye nondo za darasani ama yamekaakaaje?? sitaki nije niwe na kisingizio cha kutemwa maandalizi niyaanze mapema coz kuna mambo yalishachomoka kichwani hii ni vita kali sana msaada wenu tafadhali.
 
Wee jinoe kila kona, achana na issue za kuegesha kwanza wanaweza twist kimtindo based on your cv..!
 
mkubwa kikubwa wewe jiandae tu fresh bt wanabase sana kwenye essecially common basic knowledge based kwenye ishu gani uliomba...
best of ur luck kaka!!!
 
mkubwa kikubwa wewe jiandae tu fresh bt wanabase sana kwenye essecially common basic knowledge based kwenye ishu gani uliomba...
best of ur luck kaka!!!
Thanx mkuu, niliomba uT.A kemia
 
Yaani wewe umeniacha hoi. Unatafuta DESA hapa JF?

Tiba
 
wanatoa maswal zaidi ya 500 bt meng ni kuchagua, wanatoa general ya english, kiswahil,hesabu na ya profession yako! Ol da best kaka
 
Habari wana JF
Nilituma maombi ya kazi pale UDOM nafasi ya taaluma katika college ya Mathematics & Natural Sciences, ninafikiri nitaitwa kwenye interview labda kama barua yangu haikufika mahala husika. Naomba msaada wenu kwa wale waliokwisha fanya interview za tutorial assistants ama assistant lecturer katika college zingine aina ya maswali kama ni ya kiacademic zaidi nirudi kwenye nondo za darasani ama yamekaakaaje?? sitaki nije niwe na kisingizio cha kutemwa maandalizi niyaanze mapema coz kuna mambo yalishachomoka kichwani hii ni vita kali sana msaada wenu tafadhali.

Kwa maTA maswali mengi yanakua yamebase kwenye kada uliyoomba, napia maswali machache yakawaida yaliyozoeleka kwenye interview mbalimbali... na wingi wa maswali unategemea namna utakavyokua unajibu.. Ila inabidi ujiandae vizuri katika kada uliyoomba... Na sio written inakua ni oral, panel ina watu kama 6 mpaka nane, ila sijajua college hiyo watakua wangapi
 
Kwa maTA maswali mengi yanakua yamebase kwenye kada uliyoomba, napia maswali machache yakawaida yaliyozoeleka kwenye interview mbalimbali... na wingi wa maswali unategemea namna utakavyokua unajibu.. Ila inabidi ujiandae vizuri katika kada uliyoomba... Na sio written inakua ni oral, panel ina watu kama 6 mpaka nane, ila sijajua college hiyo watakua wangapi
Thanks mkuu ila vipi kwa ma-ssistant lecturers pia ni the same as TA's in mode of interview???
 
Kama kweli unajua ulichoomba huna haja ya kuanza kutafuta aina ya maswali wanayo uliza huu ni ukihiyo sasa kijana....

Usicrem vitu nenda upambane na interview ukishinda utajiona mjanja zaidi
 
ktk academic posts mambo n mengi sana u must read again u cant rem everythn thats y n vyema ukajua at least aina ya interview coz zinatofautiana sana blv m wengi wanashindwa ktk intview kwa kujiona wao ni mabingwa wa kila ki2 hivyo wanaenda kichwa kichwa
 
Back
Top Bottom