Nauachaje huu mchepuko?

Mm kama mwanaume mwenzio nakushauri tu km kweli umemchokaa mpe hata Mali kdg kuliko kumnyima kabisaa na umwambie ukweli kuwa umuhitaji Tena japo ataumia lkn ndio hvyo ...

Ila nyegeee mmmhhh...
 
😅😅😅😅 hakikaa na achapwe viboko..
 
Kwahiyo unataka umuachie maumivu mara mbili huyo mwanadada? Mpe nyumba moja na gari wewe rudi kwa mkeo hapo angalau hatokulaani sana... umejitahidi kwenye swala la mimba ila umefeli kwenye uwekezaji.
 

chai zako unapika vizuri kweli 🤓 cheki kama hiyo .
 
Nawaza tu maumivu atakayoyapata atapogundua amepoteza Mda kuwekeza muda, Mali na hisia mahali pasipo sahihi
Sometimes wanaume tunazingua sana aisee, afu utamkuta mtoa mada anapinga mwanaume mwngn kuoa single maza
 
Vithread vya namna hii vinatoa watu sumu mwilini, ni kama kumgusa cobra mkia, lazima akutemee sumu.

Episode nyingine ya mzee wa hovyo🤣🤣🤣

CC: Atoto
 
Mkeo huyu huyu mama jamila anaetembea na bosco mwenye duka la dawa mwaka wa pili huu na ana mimba ya kujifungua? Pole zakaria
 

Mbaga Jr
 
Kwani huko kwenu hawaruhusu mke mdogo Sheikh??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…