Nauachaje huu mchepuko?

umegonga kwenye msumari.
 
Wewe ndio unafanya wanawake wanatuita mbwa. Kuna muda tunawalaumu wanawake ila wewe sisi ni miyeyusho sana.

Acha dhulma ndugu utaishia pabaya koko wewe.
 
Uombe Mungu nisimjue. Nitampeleka kwa babu yangu utajuta maisha yalo yote
 
Uzinzi haujawahi kumuacha mtu salama
 
Na tutanyweshwa sumu sana kwa akili hizi.
 
kwa hiyo una uhakika mkeo huko aliko hachepuki? Ye anaishije? We ungeweza? Mbwage huyo mchepuko na mkeo akubwage
 
UNACHEKESHA.......
Kwa sisi wanaume kuoa zaidi ya mke mmoja ni suala la maamuzi.
Wazee wetu walifanya hivyo na maisha yanasonga.
Mie nina wake wawili....mmoja wa biashara...mwingine wa kilimo... 👍
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…