Nauchukia Utanzania wangu

Sasa hapa ndo umejibu nn?

Mbona kama umeishiwa hoja mdogo wangu?

Nani katishwa hapa? Au nivibaya mtu kutoa opinion yake?

Yan ww kwa akili hizo mgando utaendelea kukimbiza mwenge mwaka wa kumi ss..

Ata mtendaji wa kijiji hulambi 🤣🤣🤣
 
Tuibe ,do illegals with a settled mind utaenjoy sana.
Tanzania haiwezi haitokuja kufanya watu wa enjoy, till 45 years to come, saiv iba. Shukuru Mungu umeamka na unatembea, kwa umri wako iba. Popote loose chapa. Usilale ndani, don't be so much fair
 
Kiasili Tanzania ni nchi nzuri tu, hili hakuna ubishi hata kidogo. Tatizo kubwa lililopo ni kwamba Kuna Utawala mbaya sana kwenye hii nchi, na tatizo hili lipo karibia kwenye nchi zote kabisa zilizopo katika Bara la Afrika. Almost Nchi zote za Afrika zinakabiliwa na tatizo la kuwepo kwa Tawala mbaya, na kuligeuza bara hili kuwa siyo mahali pazuri na salama pa kuishi hapa duniani.
 
upeo wake n mdogo sn, tena sn tuu…

Bro please usipoteze charger y cm yako kumjibu huyu chawa
 
Upo sahii sasa nini kifanyike kwa mtazamo wako…

Au paendelee kuwa sio mahali salama kwa ustawi wa watu wa taifa let’
Tuibe ,do illegals with a settled mind utaenjoy sana.
Tanzania haiwezi haitokuja kufanya watu wa enjoy, till 45 years to come, saiv iba. Shukuru Mungu umeamka na unatembea, kwa umri wako iba. Popote loose chapa. Usilale ndani, don't be so much fair
aisee, ss wote Tuwe wezi?
Tunaiba nn raslimali y taifa au tunawaibia waliokwisha iba?
 
Vijana n lazima kuamka na kusema stop ✋ imetosha…

Otherwise watoto wetu wataendelea kufanywa watumwa kwny nch yao huku wao wakichuma hazina y taifa kwa maslai yao binafsi n vizazi vyao
 
Upo sahii sasa nini kifanyike kwa mtazamo wako…

Au paendelee kuwa sio mahali salama kwa ustawi wa watu wa taifa let’

aisee, ss wote Tuwe wezi?
Tunaiba nn raslimali y taifa au tunawaibia waliokwisha iba?
Upo level gani ya umri kuuliza kuiba. Kuiba sio kukaba. Kuiba ni do with no limits usichoke mbona nimeeleza
 
Kija hajielewi huyo, anajibu kwa mihemko tuu
 
Nilipokujibu mwanzo nilikueleza kwamba sikuweza kusoma ulicho andika chini ya hicho kichwa cha mada yako; na nikaikataa, naendelea kuikata hoja mbovu ya namna hiyo.

Hapa nimekusoma na nimeelewa vizuri kabisa na kuelewa kinacho sumbua akili yako. Bahati mbaya sana bado unang'ang'ania kuwafanya hawa viongozi wabovu kuwa ndio Tanzania, sijui kwa nini hili limeganda akilini mwako.

Kwani ni wewe pekee unaye umia kwa nchi hii kuwa chini ya utawala wa hovyo hovyo hivi? Hatuwezi kuikataa Tanzania yetu kwa sababu tu kuna viongozi wabovu wanao endesha nchi hii. WaTanzania watakapo amua kuwaondoa hawa na kuweka wengine, tutaweka matumaini yetu huko kama watakuwa ni viongozi wanaojali maslahi ya nchi yetu. Kama na wao watakuwa wabovu vile vile, tutaendelea kuwakataa, lakini hatuwezi kuikataa Tanzania yetu kamwe.
Nasema kwa akili zangu timamu. Sijivunii kuwa mtanzania I hate his country to the maximum.
Kama una uhakika na hili hapa, utakuwa na sababu zako nyingine, tofauti kabisa. Hayo maelezo uliyoweka hapo hayahusiani kabisa na kutoipenda Tanzania.
 
Sasa endelea kuuchukia utanzania wako, ikiwezekana jinyonge kabisa😎😎😁😁
Kijana la lumumba hili linatimiza majukumu yake kujihakikishia unga wa ugali kutoka mbogamboga political part..

Na huyo jamaa kwny profile yako mtoe. Nondo anajielewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…