Umeongea vzur sn na kwanamna moja umejaribu kuwa mzalendo kwa nafasi yako..
But trust me, huwez kuwa proud n hii nchi ukitoka kwenda ng’ambo, bado tunamambo Meusi sn..
Nchi y democratic zen inakiti kimoja cha upinzani.
Nchi inayoongozwa kwa mujibu wa sheria hususan bunge na linawabunge wasio na chama chochote. (Covid 19)
Nchi isiyoheshimu katiba, kiongoz mkuu wa nchi anajipangia muda wa kuongoza nchi..
Now wanasema kuingia kwny uchaguz n kupoteza pesa… ila safari zisizo n kichwa wala miguu n kusave pesa?
Wamevimbilwa kwa wizi na urafi, miradi mikubwa inaelekezwa Kwny investment zao, na hakuna tenda shindani zinazofwata utaratibu wa ushindani.
Nasema kwa akili zangu timamu. Sijivunii kuwa mtanzania I hate his country to the maximum.
Kunawatu wanaweza dhan labda maisha yamenipiga or otherwise bt I am living a very standard life na Nina ustawi bt hii haibadilish chochote kwny fikra zangu za kuichukia hii nchi..
Mfumo umeoza na unanuka. Na ubani hakuna