Nauchukia Utanzania wangu

Nauchukia Utanzania wangu

Inawezekanaje hakuna anachochangia wakati analipa tozo na kodi zote za manunuzi bado ya ardhi na majengo mkuu nia aibu mwanaume kuogopa kusema ukweli ona aibu kula kisicho halali...ona aibuuu mkuu
Anakula kwa dada yake aliyeolewa. Anaishi kwa hisani ya shemeji yake
 
Everything possible bro, cz tunaweza kuanza na next generations

Bt mm sio muumini sn wa huo mvunjiko bt wht i belive its time now kuanza kupitia upya hayo makubaliano y kimuungano na kurekebisha mapungufu ya kimuundo.

Serikali 3 ndo suluisho, bt huwez kuipata hiyo serikali 3 bira marekebisho y katiba y sasa.. marekebisho ambayo wenyedhamana hawataki kabisa kuyasikia
Wanahofia wizi wao kujulikana,

Serikali tatu zitaondoa pazia jeusi, maovu na wizi wote utakuwa dhahiri.
 
Mm najitambua ndomaana nimeleta uzi mezani wenye fikra pana na fikilishi,

Ww mwenza umeleta moja tu kujitambua.

Au umepotea uzi unadhani umekuja hapa kuelimisha rika?

Brother this is strong thread inahitaji critical thinking, na sio nonsense stuffs
HUJITAMBUI.
 
Inawezekanaje hakuna anachochangia wakati analipa tozo na kodi zote za manunuzi bado ya ardhi na majengo mkuu nia aibu mwanaume kuogopa kusema ukweli ona aibu kula kisicho halali...ona aibuuu mkuu
Km mmetumana huko kuvuruga huu uzi naomba mpite hivi..

Chawa wa kijani huwa mnadhani hakuna mwenye haki ya kutoa uhuru binafsi wa maoni hasa yale yawagusayo

Huu n uzi wa wanaume lijali wanaotazamia kesho yao waitakayo..

Kunauzi wa watu wa upinde huko twitter muende kule
 
Brother trust me, km hujaelewa hii simple thread hutoelewa kamwe.

Am not feeling proud to be a citizen of this country.

Na nikibahatika kuvuka mipaka sitajitambulisha km Mtanzania, and if i get an opportunity to apply for dual or new citizenship i wont hesitate
Ninakuelewa sana. Usidhani sielewi kinachokusumbua.

Nimekueleza kwa kifupi hapo juu; Tanzania kama nchi, haina tatizo lolote lile, lakini wewe una kazania kuifanya Tanzania iwe ya hao viongozi wabovu, ambao sote tunawachukia.
Hivi huwezi kuona tofauti?

Hakuna kiongozi yeyote anayemiliki nchi hii, unanielewa?

Usiwe kama kijana anayeanza kubalehe, anayerukia mambo bila kuyaelewa vizuri.

Sasa hiyo "dual citizenship" unataka ya nini? Kwa nini ung'ang'anie kuwa na sehemu unayoichukia maishani mwako.
Kama unakwenda, nenda kimoja.
 
Ninakuelewa sana. Usidhani sielewi kinachokusumbua.

Nimekueleza kwa kifupi hapo juu; Tanzania kama nchi, haina tatizo lolote lile, lakini wewe una kazania kuifanya Tanzania iwe ya hao viongozi wabovu, ambao sote tunawachukia.
Hivi huwezi kuona tofauti?

Hakuna kiongozi yeyote anayemiliki nchi hii, unanielewa?

Usiwe kama kijana anayeanza kubalehe, anayerukia mambo bila kuyaelewa vizuri.

Sasa hiyo "dual citizenship" unataka ya nini? Kwa nini ung'ang'anie kuwa na sehemu unayoichukia maishani mwako.
Kama unakwenda, nenda kimoja.
Baba yangu alizaliwa na kuzikwa ardhi hii, so sikatai kuwa navinasaba navyo, i just need fresh air from outside.. cz i real hate this country, i say it from deeper within my heart na uwez lazimisha niipende.

Zen ungeweza kuexpress you thought bila dharau wala kejeli cz i’m capable of that.

Zen km huwez kuexpress opinions zako bila matusi na kejeri basi huu sio uzi sahihi kwako.

Katafute uzi wa michambo na kuchambana hukooo, hope ur capable of tht.
 
Baba yangu alizaliwa na kuzikwa ardhi hii, so sikatai kuwa navinasaba navyo, i just need fresh air from outside.. cz i real hate this country, i say it from deeper within my heart na uwez lazimisha niipende.

Zen ungeweza kuexpress you thought bila dharau wala kejeli cz i’m capable of that.

Zen km huwez kuexpress opinions zako bila matusi na kejeri basi huu sio uzi sahihi kwako.

Katafute uzi wa michambo na kuchambana hukooo, hope ur capable of tht.
Duh!
Wewe ni mgeni hapa?

Hebu ngoja...., Aaahaaa, April 2024!

Kumbe sikukosea kabisa. Wewe unahangaishwa na hali yako mpya; huna la zaidi ya hapo.

Basi tueleze, wewe (baba yako) katokea wapi. Kwa nini usifunge tu virago na kurudi huko kwa mababu. Hakuna atakaye kuzuia kuja hapa kusafisha kaburi la baba yako.

Unajitesa hivi mwenyewe, unataka sisi tukufanyie nini?
Unataka usikie na sisi tukijitoa akili, kwamba hatuipendi nchi yetu?
Wewe ni mdogo sana kumtisha yeyote hapa. Nenda kajifunze kunyoa mavuzi kwanza kwa mara ya kwanza.

Hovyo kabisa.
 
Sijawahi kujivunia Utanzania Wangu

Nakumbuka nyimbo za shule za kipindi kile tulizokuwa tukiimba kwa furaha na bashasha.

Tukiwa tumevalia uzi mweupe na bukta za blue, tuliimba “Mungu ibariki Tanzania” na “Tazama ramani utaona nchi nzuri” kwakweli tuliimba kwa bashasha kweli kweli.

Na kwa utoto wetu tulikuwa so proud na taifa hili.

Miaka imeenda sasa tumekuwa wakubwa na ule usemi wa Mama “mwanangu kuwa uyaone” sasa tumejionea kwa macho.

Miaka zaidi ya 60 ya uhuru wa taifa hili lakini bado maadau watatu wanaendelea kuitafuna inch hii tena kwa kasi ya ajabu.

Ujinga, umasikini, maradhi ni wimbo wa taifa kila uchwao.

Cha ajabu umasikini na maradhi hutafuna zaidi watu wa vipato vya chini, ila ujinga hili hutafuna zaidi viongozi wetu maana wao ndo wamepewa dhamana ya usimamizi wa raslimali za Taifa hili.

Viongozi ni wachumia tumbo na wanawimbo wao sijajua mtunzi alikuwa nani ila unaitwa “Chukua chako mapema”

Na sishanga kwenye hili maana Nchi yoyote ya chama kimoja ambayo imejivika kivuli cha vyama vingi, nchi yoyote isiyoheshimu Uhuru wa Kujieleza, Uhuru wa Kidemokrasia hili ni jambo la kawaida kutokea.

Wananchi wanateseka kwa ugumu wa maisha huku serikali sikivu ikiendelea kuwakandamiza kwa kodi zisizo na kichwa wala miguu.

Viongozi wameshindwa kutafuta vyanzo imara vya mapato na kuamua kumuangushia mzigo wote mwananchi wa kawaida anaepambana kupata mlo wake wa siku.

Kodi zimekuwa mwiba kwa wafanyabiashara wakubwa na wadogo.

Ni kawaida kukuta kodi inazidi dhamani ya manunuzi ya bidhaa husika. Hii hupelekea wafanya biashara kushindwa ku compete kwenye soko la dunia hasa linapokuja swala la kodi kuathili uti wa mgogo wa biashara husika.

Chungulia kidogo kwny kodi za magari kuingia nchi, utaagiza gari kwa milion 10 utapaswa kulipia kodi million 15 hadi 17 jumla gari litakughalimu milion 25 had 27 kuingia barabarani kwa matumizi, which is nonsense.

Hapo hujagusia kodi ya ardhi ambayo sasa inalipwa na wapangaji na sio mwenye nyumba husika. Kama umepanga chumba kimoja na umefungiwa mita, kodi hii inakuhusu.

Hapo sijaongelea gharama za vifurushi vya internet na makato ya kipuuzi kwa watumiaji wa mitandao ya simu.

Gharama za kupokea na kutuma pesa nikubwa kiasi kwamba hatuna pakukimbilia, sio bank wala mitandao y cm, wote n nyonya damu.

Mifumiko ya bei za chakula isijoyali hali halisi za walaji.

Kupanda hovyo kwa bei za mafuta na gas as if hakuna mamlaka husika za kudhibiti na kusimamia nishati hizo.

Ajira rasmi hakuna, wanakomaa wenyewe tuu, na yakiwapalia utasikia tangazo la ajira za muda, miezi mi3, miezi 6.

Lengo kubwa ni kupunguza gharama za matumizi ya pesa za serikali ndani ya sekretaliet usika,

Kwa vimikataba hivyo vya nusu mwezi wanaokoa pesa nyingi sn km pesa za kujikimu, contributions za NSSF, NHIF, fedha za safari, likizo za uzazi, pesa za dharula, misiba,
gharama za kuingizwa kwenye payroll za malipo ya serikali na stahiki nyingine anatazo hitaji ikiwa utaajiriwa.

Kipindi wanatumia ujuzi na jasho lako kufanikisha masuala ya kitaifa, linapokuja swala la ajira unawekwa kushoto. Hii imewakuta sn vijana wa jkt waliovuja jasho kwny shughuli mbali mbali za ujenzi wa taifa na sasa wapo nyumbani.

Tabaka la wenyenacho na wasionacho ni kubwa sn sn sn, huku tunakosa mlo wa siku, kule kuna dhifa za kitaifa watu wanakula na kusaza, suti za gharama na ujazo wa full tank by gvt pay check.

Deni la taifa linakua kwa mikopo ya kila kukicha, tukiuliza tunaambiwa vijana mmekubukwa.

Mnaambiwa undeni vikundi vya ushirika, mara njoo na business plan nzuri ukopeshwe, kamilisha vyote.. bt trust me utazunguka inchi nzima ofisi husika inayotoa hiyo mikopo hutokaa uione.

Hatuna dira ya Taifa, na kama ipo ni dira jina tuu, hatuna vipaumbele vya taifa.

Limekuwa Taifa linalopenda kuona vijana wanateseka, wazazi wanaangaika na vijana wao waliomaliza vyuo wapo mitaani.

wamejaribu kujiajiri wamekutana na vikwazo vingi vya kimfumo vinavyopeleka biashara kufa.

“wamerudisha mpira kwa kipa”


Kwenye maharusi wanachangiana mabilions of money, wakati majimboni mwao wananchi wanakufa kwa kukosa huduma bora za afya..

Mpige kura msipige kura watatangazwa tuu washindi, watapita bila kupingwa. wananchi hamna tena power y kuchagua nani mnamtaka ni nani hamumtaki.

Thats why now days hawaombi tena kura kwa wananchi, matokeo yake wameelekeza nguvu zao kwa viongoz wakuu wa vyama, hapo ni mwendo wa kuabudu na kusujudu tu, ni mwendo wa uchawa kwenda mbele..

Imekuwa ni nchi ya kula kwa urefu wa kamba, na kamba za malisho huongezwa kadri unavyomfurahisha mfungaji.

Vijana wasio na upeo na kuijali kesho yao huangukia kwny wimbi la kusifu n mapambio, hawa huvaa miwani za mbao hata wasione wapi wanaelekea, na km kijana upi mchango wako kwa jamii yako.

Wao ni ngonjela mwanzo mwisho wakiamini siku system itawafuta jasho.

Wenzangu ni mimi tulioamua kusimama kwenye kweli tujiandae kukabiliana na kesi za uhujumu uchumi.

Utafungwa jela Ili jamii isipate madini kutoka kwa watu makini wenye mitazamo chanya.

Kunawakati Mungu pekee ndo ataweza kutuvusha kwny hili.

Vijana wenzangu tusikate tamaa, hatima yetu ipo mikononi mwetu, tuvuje jasho ili walau watoto wetu waione kesho yao ilio bora zaidi ya leo.

Sijivunii kuwa MTANZANIA
Kazi iendelee...........CCM mbele kwa mbele...........Wa-Danganyika Mutazidi Kuisoma namba...................



RIP  BABA WA TAIFA TANZANIA  MWALIM NYERERE..jpg
 
Usipende kumdiscuss mtu usiemjua kiundani sawa chimpanzii

Km mmetumana huko kuvuruga huu uzi naomba mpite hivi..

Huu n uzi wa wanaume lijali wanaotazamia kesho waitakayo..

Kunauzi wa watu wa upinde huko twitter muende kule,
Ungekuwa rivali usingekuwa unalialia JF bali ungkwenda kujihusisha na shughuli ya kiuchumi. Nyambafff
 
Duh!
Wewe ni mgeni hapa?

Hebu ngoja...., Aaahaaa, April 2024!

Kumbe sikukosea kabisa. Wewe unahangaishwa na hali yako mpya; huna la zaidi ya hapo.

Basi tueleze, wewe (baba yako) katokea wapi. Kwa nini usifunge tu virago na kurudi huko kwa mababu. Hakuna atakaye kuzuia kuja hapa kusafisha kaburi la baba yako.

Unajitesa hivi mwenyewe, unataka sisi tukufanyie nini?
Unataka usikie na sisi tukijitoa akili, kwamba hatuipendi nchi yetu?
Wewe ni mdogo sana kumtisha yeyote hapa. Nenda kajifunze kunyoa mavuzi kwanza kwa mara ya kwanza.

Hovyo kabisa.
Kakijana haka kame zowea kulelewa tu. Halafu kanajiita incredible mimi kumbe takataka tu kutoka kambi za wakimbizi
 
Viongozi wa dini nao wameingiza vichwa chini ya mchanga na kuona Kila kitu Iko sawa,wengine wanatetea Kila kitu. Huku nchi inazama na jiwe zito liitwalo matrilion
Siku hizi hakuna tena viongozi wa dini waadilifu bali kuna wapiga dili.

Ccm nao kwa kulijua hilo wanatumia huo mwanya kuwarubuni kwa kutumia pesa za mkopo wanaokopa kila uchwao, ambazo mwisho wa siku atazilipa mlala hoi.
Maana nyingine kupitia dini tunajikaanga kwa mafuta yetu.
 
Back
Top Bottom