Tofauti ya Nauli ya Igunga na Kahama ni buku 5 hapa ngumi zitapigwaDuh... Singida elfu40... Kutoka 33?? Kweli unapigwa mwingi Sana
Dah... na tofauti ya Singida na Kahama pia ni elfu 5.. nahisi hawajapiga hesabu vizuri !Tofauti ya Nauli ya Igunga na Kahama ni buku 5 hapa ngumi zitapigwa
Sawa kabisa, usafirshaji ni biashara ambayo moyo na ubongo ni mafuta!Pushgang na Wanyonge mnafurahia taarifa hizi bila kufanya reasoning.
Bukoba ni kusini?Za kaskazini je
Zikishuka huwa hamsemi wala kusema ni ladunia nzima ila, mnakusanya tu!.Hili ni tatizo la Dunia nzima hizi nyuzi za mfumuko wa bei mzichukue mkafumie nguo🙌
NASHANGAA SANA WANAPOSEMA MAMA ANAUPIGA MWINGI.KWA WALE TULIYOCHEZA MPIRA HATUAMINI KTK MCHEZAJI MMOJA MMOJA BALI KTK TIMU.NA NI KOSA KUSEMA RAIS AMETOA SH..MANA HATOI ZAKE.
Wagambakii!!!Mimi nimekata leo Kwa 65k Muleba-Dar
Mkuu Sio kwamba wewe ndo una gundu, ikiwa kwa umri wako huwezi kumstahi mtu alokuliko umri na tena mwenye mamlaka, Vipi kwa kabwela Kama Mimi ?Naanza kuamini kuwa nuksi ya kiongozi inaweza ikaathiri hata anaowaongoza.
Kwa kifupi Bi. Tozo ana gundu, toka kuingia yeye maisha yanazidi kuwa magumu huku mwenyewe akichukulia poa na kubariki juu.
Sasa hivi kwenda kutembelea ndugu mkoani itakuwa kama kwenda nchi za nje, ujipange hasa.
All in all Raisi Hana control yoyote kwenye duala la mfumuko wa bei especially kwenye suala la kupanda bei ya mafuta narudia Tena hili ni suala ni global Kila nchi imeguswaZikishuka huwa hamsemi wala kusema ni lacdunia nzima ila, mnakusanya tu!.
Jpm anahusika vipi na Vita ya ukraineKifo cha JPM ni hasara kwa hili taifa..nadhani mnajionea.
Wahuni ndio zao hizo...kumuumiza mwananchi hayanaga huruma.
#MaendeleoHayanaChama
Uzuri hata nyie kijani nao mnausikilizia utamu...au msafirishwa kwa v8 bure bila kulipa nauli.Jpm anahusika vipi na Vita ya ukraine
Inawezekana upo sahihi kuwa nina gundu mkuu, ila upo sahihi zaidi kwa kujijua kuwa ni Kabwela kiasi cha kujitwisha utetezi wa mtu pasi kutumwa.Mkuu Sio kwamba wewe ndo una gundu, ikiwa kwa umri wako huwezi kumstahi mtu alokuliko umri na tena mwenye mamlaka, Vipi kwa kabwela Kama Mimi ?