Nauli mpya za Mwendokasi

Hapo nimeelewa mkuu ila ni kuibia abiria anayeenda muhimbili kwa kushindwa ku control abiria wa hiyo route
Jibu sahihi ni kwamba route hio inatumia TRUNK roads. Ni kama ukioandia Fire ushuke Magomeni.
 
Waongeze tu,,hata wakitaka wanaotembea Kwa miguu tulipie pesa barabara pia sawa .


Tuendelee kuzinduwa taasisi za machawa .

Hakuna namna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…