Nauli ya Bus kutoka Dar kwenda Nairobi

Nauli ya Bus kutoka Dar kwenda Nairobi

Tahmeed 65,000 ukifika Nairobi ukishuka Hapo hapo kuna hoteli inaitwa ZAHRA vyumba 600Ksh-1500ksh. Ila hawaruhusu kuingia na demu labda uwa-time wakiwa wamelala ***Mmiliki swala 6.
NB😀ar Lux, Dar Exp na Coast maji ya shingo Dar-NBO
+ Cheti Cha COVID = 100 USD (239,000 Tshs.).
 
Back
Top Bottom