Sensei Tai
Senior Member
- May 26, 2022
- 168
- 466
Habari ya jioni waungwana
Naomba kujuzwa nauli ya Dar to Mwanza kwasasa ni Tshs ngapi kwa semi luxury bus.
Mana nina miaka miwili sijaenda Mwanza sasa mwezi huu nina safari ya kuelekea kanda ya ziwa.
Nikipata msaada wa kutajiwa pia basi linalowahi kufika nitashukuru pia.
Naomba kujuzwa nauli ya Dar to Mwanza kwasasa ni Tshs ngapi kwa semi luxury bus.
Mana nina miaka miwili sijaenda Mwanza sasa mwezi huu nina safari ya kuelekea kanda ya ziwa.
Nikipata msaada wa kutajiwa pia basi linalowahi kufika nitashukuru pia.