Habari wanajamii, napenda kuuliza kwa yeyote anayejua ni shirika gani la ndege linaloenda Dar-Maputo(Msumbiji) na nauli yake ni approvimate shilling ngapi kwenda na kurudi? Nahitaji msaada.
Asantei.
Wana ndege moja tu shirika linaitwa LAM, nauli ni dola 880. Hata hivyo ndege yenyewe wakati mi nasafiri ilikuwa moja baada ya wiki tatu. Kama vipi cheki na KQ wamaweza wakawa wanaenda huko au tumia south African air ways
Habari wanajamii, napenda kuuliza kwa yeyote anayejua ni shirika gani la ndege linaloenda Dar-Maputo(Msumbiji) na nauli yake ni approvimate shilling ngapi kwenda na kurudi? Nahitaji msaada.
Asantei.