Babu Kijana
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 587
- 276
Habari wanajamii, napenda kuuliza kwa yeyote anayejua ni shirika gani la ndege linaloenda Dar-Maputo(Msumbiji) na nauli yake ni approvimate shilling ngapi kwenda na kurudi? Nahitaji msaada.
Asantei.
Asantei.