Wa Bagamoyo
Senior Member
- Apr 2, 2012
- 118
- 12
Nauliza jamani mana sisi wa Saut- Mwanza na udom ndo tuliobakia wa mwisho wanatutesa hawa jamaa aghhhhhhh.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini msipiane simu ndugu zanguni mkaulizana kuhusu suala hilo?
tunalamba BIYA tu kwasasa, wewe bado tu?, lol pole.
hatuwezi kusoma vizuri na hela mfukoni bana, lazma tutumbue kwanza ndio kitabu kipande vizuri.We lamba bia tu ila ujue maisha yamebadilika, ndo maana nyie wanachuo mnaishiwa hela mwishowe mnakaba watu