Nauliza swali ili baada ya kuwepo baadhi ya vyama vya siasa kuanzisha harakati za kudai katiba nda ya vyama vyao na kutoa maelekezo kwa viongozi wa vyama hivyo,
Nafikiri nafikiri viongozi hao wangetuomba ridhaa kwa wananchi ktk michakato hii,badala ya kuibeba kama agenda ya chama furani cha siasa,
Nakumbuka mchakato wa awali ulipoteza maana baada ya wanasiasa kuanza kurumbana na kutukosesha haki ya kupata katiba
NAWASHAURI
Wanasiasa badala ya kuanzisha hoja ambazo zinaelekea kuvuruga tena suala ili wakae kimia wasubili maana rais alishasema atalifanyia kazi badala ya kuanza tena mambo yaleyale yaliyopelekea kuaribika mchakato wa kwanza,
Nafikiri nafikiri viongozi hao wangetuomba ridhaa kwa wananchi ktk michakato hii,badala ya kuibeba kama agenda ya chama furani cha siasa,
Nakumbuka mchakato wa awali ulipoteza maana baada ya wanasiasa kuanza kurumbana na kutukosesha haki ya kupata katiba
NAWASHAURI
Wanasiasa badala ya kuanzisha hoja ambazo zinaelekea kuvuruga tena suala ili wakae kimia wasubili maana rais alishasema atalifanyia kazi badala ya kuanza tena mambo yaleyale yaliyopelekea kuaribika mchakato wa kwanza,