Nauliza kuhusu tozo ya 6% na 10% iliyokua inatozwa na bodi ya mikopo

Nauliza kuhusu tozo ya 6% na 10% iliyokua inatozwa na bodi ya mikopo

Herry jr

Member
Joined
Oct 16, 2020
Posts
74
Reaction score
134
Naombeni msaada kwenye mchanganuo wa tozo ya 6% na 10% iliyokua inatozwa na bodi ya mikopo ambayo Mheshimiwa rais alizisamehe siku ya Mei Mosi. Nataka kujua utofaut wake upoje na zilkua zinatozwaje?
 
Ngoja waamke am sure kuna ambao watakuja na ufafanuzi kwenye hili
 
Lon boad itabidi wamkodi Pole pole aje atufafanulie kuwa makato yatakuwaje, na kwa mfano mtu aliyekuwa anadaiwa milioni 14 kabla ya retention kuondolewa, sasa atakuwa anadaiwa sh ngapi.
 
Nahisi majibu ya swali hili yatanisaidia na mimi! Hii nipamoja na hiyo 6% itaanza direct (restrospective) kuondolewa mwezi wa saba au ita-calculate-wa ipungue kwenye makato ya nyuma?

Kwamaana mtu kama anadaiwa kiasi fulani kitapungua automatically? Sorry kama ilishajadiliwa!
 
Naombeni msaada kwenye mchanganuo wa tozo ya 6% na 10% iliyokua inatozwa na bodi ya mikopo ambayo Mheshimiwa rais alizisamehe siku ya may mosi. Nataka kujua utofaut wake upoje na zilkua zinatozwaje?
10% ilikuwa ukichelewa kuanza kulipa. Kwamba ukichelewesha marejesho ukizidi kipindi cha neema ndio unapigwa 10% kama faini.
6% ni value retention fee ambayo ilikuwa ikitozwa kwa outstanding loan kila baada ya mwaka.
 
Kwahiyo
10% ilikuwa ikichelewa kuanza kulipa. Kwamba ukichelewesha marejesho ukizidi kipindi cha neema ndio unapigwa 10% kama faini.
6% ni value retention fee ambayo ilikuwa ikitozwa kwa outstanding loan kila baada ya mwaka.
Kila mwaka deni lilikua linaongezeka?
 
Naombeni msaada kwenye mchanganuo wa tozo ya 6% na 10% iliyokua inatozwa na bodi ya mikopo ambayo Mheshimiwa rais alizisamehe siku ya may mosi. Nataka kujua utofaut wake upoje na zilkua zinatozwaje?
Ninachokijua ni kwamba 10% ni pale ambapo ulikuwa unachelewa kutoa taarifa ya kuanza kukatwa mkopo,mfano sheria ya bord inasema ukipata kazi unatakiwa ukae miaka 2 ndoo uanze kukatwa na wakati mwingne hiyo sheria walikuwa hawaifuati,ukimaliza chuo na ukapata kazi haraka sana wanaanza kukata .Sasa Sasa kulingana na hiyo sheria ya miaka miwili ikipita haijarishi una kazi au hauna kazi wanaanza kuongeza asilimia 10% kwenye mkopo wako kila mwaka unaochelewa kulipa na ndoo maana mnufaika alikuwa anaweza kulipa mkopo mpaka anastaafu.

Kuhusu kuongezeka kwa thamani ya pesa yao 6% nayo ni kila mwaka make wanadai pesa yao inaongezeka thamani ,fedha waliyokupa 2010 mpaka unamaliza kuilipa 2025 itakuwa ishaongezeka thamani lwahiyo nani alipie?, Kwahiyo mama yetu ameyaona haya na akaamua kuondoa.Na inaanza mwezi wa saba kwahiyo usipoona mabadiliko ni kwenda kwenye ofisi zao na kupigiana maisabu ili upate mkopo wako halisi na makato unayostahuli kulipa kwa kila mwez.

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Ninachokijua ni kwamba 10% ni pale ambapo ulikuwa unachelewa kutoa taarifa ya kuanza kukatwa mkopo,mfano sheria ya bord inasema ukipata kazi unatakiwa ukae miaka 2 ndoo uanze kukatwa na wakati mwingne hiyo sheria walikuwa hawaifuati,ukimaliza chuo na ukapata kazi haraka sana wanaanza kukata .Sasa Sasa kulingana na hiyo sheria ya miaka miwili ikipita haijarishi una kazi au hauna kazi wanaanza kuongeza asilimia 10% kwenye mkopo wako kila mwaka unaochelewa kulipa na ndoo maana mnufaika alikuwa anaweza kulipa mkopo mpaka anastaafu.

Kuhusu kuongezeka kwa thamani ya pesa yao 6% nayo ni kila mwaka make wanadai pesa yao inaongezeka thamani ,fedha waliyokupa 2010 mpaka unamaliza kuilipa 2025 itakuwa ishaongezeka thamani lwahiyo nani alipie?, Kwahiyo mama yetu ameyaona haya na akaamua kuondoa.Na inaanza mwezi wa saba kwahiyo usipoona mabadiliko ni kwenda kwenye ofisi zao na kupigiana maisabu ili upate mkopo wako halisi na makato unayostahuli kulipa kwa kila mwez.

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Sina hakika Kama kutakuwa na badiliko lolote katika hili

6% iliyoitwa kihuni retention fee ya mwaka wa kwanza wa marejesho na 10% ya ucheleweshaji waliviingiza kihuni kwenye deni la mwanzo

Hata hivyo kila mwaka hii 6% ilikuwa inakuwa calculated na kuwekwa kwenye mfumo "uliojificha" wa loan board mnufaika hakuwa na uwezo wa kuona kinachoongezeka kila mwaka

Mnufaika aliendelea kukatwa deni la Mwanzo (yaani mkopo halisi + 6% retention fee ya mwaka alioanza marejesho + 10% ya penalty Kama alichelewa kuanza) bila kujua kuwa ana deni lingine linaloongezeka kila mwaka bila kujua

Kwa hiyo possibility kubwa ya kilichofanyika na Waziri ni kuondoa hii 6% ya ongezeko la kila mwaka lakini waliyoongeza mwaka wa kwanza hawataiondoa

Pia hii penalty ya 10% nadhani wataondolewa ambao hawajaanza makato

Kwanini nasema hivi?

Hii retention fee ya 6% ya ongezeko la kila mwaka ilianza kupigiwa kelele pale lilipojulikana rasmi baada ya baadhi ya wadau kumaliza deni halisi la kwenye salary slip (lililoingizwa na hazina la mkopo halisi + retention ya mwaka wa kwanza+ penalty)

Wanafaika mara baada ya saraly slip kusoma NIL kwenye loan board waliitwa na maafisa utumishi kupewa nakala ya deni jipya!

Walipolalamika walielekezwa wapeleke malalamiko loan board na huko wakajibiwa kuwa kulikuwa na ongezeko la 6% kwa kila mwaka na hili ongezeko lilikuwa haliwekwi kwenye mfumo wa hazina, lilibaki loan board.

Hivyo ulikuwa ukimaliza tu, wanakuprintia deni jipya ambalo pia linakuwa na ongezeko la asilimia sita kila mwaka tena. Kifupi kwa utaratibu huu deni lingekuwa endelevu.

"Nadhani" hiki ndicho kinaenda kuondolewa.
 
Naombeni msaada kwenye mchanganuo wa tozo ya 6% na 10% iliyokua inatozwa na bodi ya mikopo ambayo Mheshimiwa rais alizisamehe siku ya may mosi. Nataka kujua utofaut wake upoje na zilkua zinatozwaje?
Kwa kuwa zimeshafutwa basi.., tugange yajayo..!!
 
Sina hakika Kama kutakuwa na badiliko lolote katika hili

6% iliyoitwa kihuni retention fee ya mwaka wa kwanza wa marejesho na 10% ya ucheleweshaji waliviingiza kihuni kwenye deni la mwanzo

Hata hivyo kila mwaka hii 6% ilikuwa inakuwa calculated na kuwekwa kwenye mfumo "uliojificha" wa loan board mnufaika hakuwa na uwezo wa kuona kinachoongezeka kila mwaka

Mnufaika aliendelea kukatwa deni la Mwanzo (yaani mkopo halisi + 6% retention fee ya mwaka alioanza marejesho + 10% ya penalty Kama alichelewa kuanza) bila kujua kuwa ana deni lingine linaloongezeka kila mwaka bila kujua

Kwa hiyo possibility kubwa ya kilichofanyika na Waziri ni kuondoa hii 6% ya ongezeko la kila mwaka lakini waliyoongeza mwaka wa kwanza hawataiondoa

Pia hii penalty ya 10% nadhani wataondolewa ambao hawajaanza makato

Kwanini nasema hivi?

Hii retention fee ya 6% ya ongezeko la kila mwaka ilianza kupigiwa kelele pale lilipojulikana rasmi baada ya baadhi ya wadau kumaliza deni halisi la kwenye salary slip (lililoingizwa na hazina la mkopo halisi + retention ya mwaka wa kwanza+ penalty)

Wanafaika mara baada ya saraly slip kusoma NIL kwenye loan board waliitwa na maafisa utumishi kupewa nakala ya deni jipya!

Walipolalamika walielekezwa wapeleke malalamiko loan board na huko wakajibiwa kuwa kulikuwa na ongezeko la 6% kwa kila mwaka na hili ongezeko lilikuwa haliwekwi kwenye mfumo wa hazina, lilibaki loan board.

Hivyo ulikuwa ukimaliza tu, wanakuprintia deni jipya na hilo deni linakuwa na ongezeko la asilimia sita kila mwaka. Hiki ndo kinaenda kuondolewa
Asante mama Samia mitano tena
 
Sina hakika Kama kutakuwa na badiliko lolote katika hili

6% iliyoitwa kihuni retention fee ya mwaka wa kwanza wa marejesho na 10% ya ucheleweshaji waliviingiza kihuni kwenye deni la mwanzo

Hata hivyo kila mwaka hii 6% ilikuwa inakuwa calculated na kuwekwa kwenye mfumo "uliojificha" wa loan board mnufaika hakuwa na uwezo wa kuona kinachoongezeka kila mwaka

Mnufaika aliendelea kukatwa deni la Mwanzo (yaani mkopo halisi + 6% retention fee ya mwaka alioanza marejesho + 10% ya penalty Kama alichelewa kuanza) bila kujua kuwa ana deni lingine linaloongezeka kila mwaka bila kujua

Kwa hiyo possibility kubwa ya kilichofanyika na Waziri ni kuondoa hii 6% ya ongezeko la kila mwaka lakini waliyoongeza mwaka wa kwanza hawataiondoa

Pia hii penalty ya 10% nadhani wataondolewa ambao hawajaanza makato

Kwanini nasema hivi?

Hii retention fee ya 6% ya ongezeko la kila mwaka ilianza kupigiwa kelele pale lilipojulikana rasmi baada ya baadhi ya wadau kumaliza deni halisi la kwenye salary slip (lililoingizwa na hazina la mkopo halisi + retention ya mwaka wa kwanza+ penalty)

Wanafaika mara baada ya saraly slip kusoma NIL kwenye loan board waliitwa na maafisa utumishi kupewa nakala ya deni jipya!

Walipolalamika walielekezwa wapeleke malalamiko loan board na huko wakajibiwa kuwa kulikuwa na ongezeko la 6% kwa kila mwaka na hili ongezeko lilikuwa haliwekwi kwenye mfumo wa hazina, lilibaki loan board.

Hivyo ulikuwa ukimaliza tu, wanakuprintia deni jipya na hilo deni linakuwa na ongezeko la asilimia sita kila mwaka. Hiki ndo kinaenda kuondolewa
Huu ndio ulikuwa wizi wa wazi. Ule mkopo hadi unachukua na kuanza kulipa ni mkataba. Bodi ya Mikopo wanapokuwa wanapeleka Deni la kulipwa kwa mwajiri inamaana wamekiri kuwa hilo ndio deni halisi la mdaiwa kama wafanyavyo watu wa benki. Sasa inakuwa ajabu mtu umekatwa deni lote la 10M kwa mfano halafu baada ya miaka kadhaa ya mateso ukimaliza unamshukuru Mungu angalau upate unafuu, ati wanaibuka na deni lingine ambalo walikaa nalo wao tu peke yao uanze kulipa. Tena unaweza kuwa umenaliza kulipa deni halisi hata miaka 5, wao wanaliongeza wanavyotaka ili uje ulilipe nyingi baadae. Kwa kweli tumeonewa sana. Jawa jamaa wanapaswa wachunguzwe vzr, huenda kuna magumashi walikuwa wanatufanyia. Hakunaga utaratibu wa kuficha deni nje ya lile mlilokubaliaba na kumfikishia mwajiri kwa ajili ya makato.
 
Huu ndio ulikuwa wizi wa wazi. Ule mkopo hadi unachukua na kuanza kulipa ni mkataba. Bodi ya Mikopo wanapokuwa wanapeleka Deni la kulipwa kwa mwajiri inamaana wamekiri kuwa hilo ndio deni halisi la mdaiwa kama wafanyavyo watu wa benki. Sasa inakuwa ajabu mtu umekatwa deni lote la 10M kwa mfano halafu baada ya miaka kadhaa ya mateso ukimaliza unamshukuru Mungu angalau upate unafuu, ati wanaibuka na deni lingine ambalo walikaa nalo wao tu peke yao uanze kulipa. Tena unaweza kuwa umenaliza kulipa deni halisi hata miaka 5, wao wanaliongeza wanavyotaka ili uje ulilipe nyingi baadae. Kwa kweli tumeonewa sana. Jawa jamaa wanapaswa wachunguzwe vzr, huenda kuna magumashi walikuwa wanatufanyia. Hakunaga utaratibu wa kuficha deni nje ya lile mlilokubaliaba na kumfikishia mwajiri kwa ajili ya makato.
Aisee inaumiza sana jamani!
 
Back
Top Bottom