Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Ni nani ananunua mafuta ya Kenya? Najua wameanza kuexport mafuta ghafi lkn mpaka sasa hivi sijasikia nchi ya Kenya inauza mafuta wapi yaani nchi gani inanunua?
Najua baadhi mnaweza puuzia hili lkn kama hamjui mafuta yanapokwenda mjue hakuna kitu hapo ni kama dhahabu ya TZ mnapigwa live, hivyo niambieni kwanza nchi gani ina import oil ya Kenya? Yaani yakitoka Bandarini yanaenda wapi?
Najua baadhi mnaweza puuzia hili lkn kama hamjui mafuta yanapokwenda mjue hakuna kitu hapo ni kama dhahabu ya TZ mnapigwa live, hivyo niambieni kwanza nchi gani ina import oil ya Kenya? Yaani yakitoka Bandarini yanaenda wapi?