Nauliza kwani madhara ya pombe aina ya spirit yanatofautina kutegemea na aina ya pombe?

Nauliza kwani madhara ya pombe aina ya spirit yanatofautina kutegemea na aina ya pombe?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Moja Kwa moja niende kwenye hoja kuna hili suala mtu Anaapa kwamba hatakuja kunywa smart gin ila k vant na konyagi anabugia kama kawaida.

Nataka nijuzwe spirit kama spirit hizi zenye ethanol na gin mfano tufanye smart na konyagi tofaut ni ipi katika kuumizana maana me nachojua zote ni sumu tofaut ipo kwenye distillation means konyagi imechujwa zaidi imekuwa fine ILA LINAPOKUJA SUALA LA MADHARA YA POMBE KALI MFANO KANSA, ISHU ZA FIGO N. K NAONA ZOTE SAWA TU IWE GONGO AMA SMART AMA KONYAGI.

YOYOTE IKIAMUA KUKULETEA SHIDA INAKULETEA TU NI SUALA LA MUDA TU.. kinchonishangazaga ni pale mtu anaona kama k vant au konyagi Kwa kuwa ni brand kubwa za bei ndo anadhani yuko salama.. Ila in short tutafuteni Hela kweli kuna pombe sio kabisa za kutumia.
 

Attachments

  • FB_IMG_1712464914785.jpg
    FB_IMG_1712464914785.jpg
    15.3 KB · Views: 9
Ubaya wa sungura ukinywa unakuta siku ya pili mtu anakuuliza ile ishu tuanze leo? Wewe sasa ndio unakuwa na kazi ya kuuliza, ishu gani? Yaani ushasahau kila kitu.

Zile memory za smart gin huwa zinakuwa very short time memory halafu zinafutika within a second.
Sijui zinahifadhiwa sehemu gani ya ubongo!
 
Kuna jamaa yupo kijijini kwetu kule tumekua tukimuona anakunywa gongo tu na siku moja moja mbege, kazi zake ni kupasua mawe na kupasua mbao, kila ukimuona unasema huu mwaka hatoboi, tokea nikivyo toka kijijini 2003 mpaka leo yupo na gongo ndio kinywaji chake wakati wote, huwa natafuta madhara ya pombe kali kama invyosemwa hapa jukwaaani nakosa ushuhuda.
 
Tunatishana Sana Ndugu Zangu
Mara Vigogo Wapukutika, Vigogo Wafa Ni Uzushi Mtupu
By Mzilankende
 
Kuna jamaa yupo kijijini kwetu kule tumekua tukimuona anakunywa gongo tu na siku moja moja mbege, kazi zake ni kupasua mawe na kupasua mbao, kila ukimuona unasema huu mwaka hatoboi, tokea nikivyo toka kijijini 2003 mpaka leo yupo na gongo ndio kinywaji chake wakati wote, huwa natafuta madhara ya pombe kali kama invyosemwa hapa jukwaaani nakosa ushuhuda.
Huyo ana Mungu wake sio bure,,
 
Back
Top Bottom