ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Kwa Tanga inawezekana, ila kwa Lindi na Mtwala haiwezekani.
Nasikia kuna sehemu zina Mkondo Mkubwa wa Bahari boti haziwezi kupita. Ila meli tuu zenye nguvu kubwa ndiyo upita.
Kuna miaka kulikuwa na Meli inafanya route ya Dar-Mtwala, ikifika eneo hilo uwa kunakuwa na shughuli si ya kitoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe Mv Mapinduzi, Mv Maendeleo, Mv Kazi, Mv Kigamboni ni meli na sio Pantoni😂Meli zilikuwepo Mv Mapinduzi, Mv Maendeleo n.k. Meli hizizimechoka na nyingine kuuzwa kabisa!
Tatizo la kutokuwa na endelezaji wa safari hizo bado sizifahamu.
Mv Mapinduzi na Mv Maendeleo ni Meli ambazo zilikuwa zinamilikiwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.Kumbe Mv Mapinduzi, Mv Maendeleo, Mv Kazi, Mv Kigamboni ni meli na sio Pantoni😂
umeona ndo kitu cha maaaaaanaKumbe Mv Mapinduzi, Mv Maendeleo, Mv Kazi, Mv Kigamboni ni meli na sio Pantoni😂
Mbona Dar kwenda Zanzibar zipo safari nadhani hakuna mwamko wa kusafiri kwa meliJe, ni wafanyabishara wa mabus wanahujumu? Mbona nchi zilizoendelea huko tunaona usafiri aina zote unaendelea meli, treni na mabus yanapiga kazi vilevile.
Kwanini huku miradi hii inasua sua Kwa mfano mafuriko yaliyoharibu barabara ya Kilwa Lindi huko kupelekea watu kuzunguka njia ya Songea pale kama meli ingekuwepo watu wangeenda Dar Kwa njia ya bahari.
Kwanini meli zinabakia kwenye maziwa tu.
Hivi,kwa wastani kutoka Dar kwenda Mtwara kwa meli,safari hiyo huchukua muda gani kufika?Je, ni wafanyabishara wa mabus wanahujumu? Mbona nchi zilizoendelea huko tunaona usafiri aina zote unaendelea meli, treni na mabus yanapiga kazi vilevile.
Kwanini huku miradi hii inasua sua Kwa mfano mafuriko yaliyoharibu barabara ya Kilwa Lindi huko kupelekea watu kuzunguka njia ya Songea pale kama meli ingekuwepo watu wangeenda Dar Kwa njia ya bahari.
Kwanini meli zinabakia kwenye maziwa tu.
Swali zuri niliwahi kusikia ilikuwepo zamani sani ila ilikuwa inachukua muda mrefu sanaHivi,kwa wastani kutoka Dar kwenda Mtwara kwa meli,safari hiyo huchukua muda gani kufika?
Nimemuuliza ili tujenge jibu wote.Swali zuri niliwahi kusikia ilikuwepo zamani sani ila ilikuwa inachukua muda mrefu sana
Hata mimi napenda ajibu ili tumjengee hoja kwanini meli hakuna ya abiria eti unakuta watu wamejazana kuishangaa meliNimemuuliza ili tujenge jibu wote.
NB;Hakuna swali la kijinga duniani.
SahihiMv Mapinduzi na Mv Maendeleo ni Meli ambazo zilikuwa zinamilikiwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.
Hivi,kwa wastani kutoka Dar kwenda Mtwara kwa meli,safari hiyo huchukua muda gani kufika?