Nauliza kwanini hatuna safari za meli Mtwara to Dar

Wakati Wa Hayati Mkapa Ilikuwepo Meli Inaitwa Santorino Inatoka Dar Es Salaam ~Mtwara Via Lindi Sijui Kulitokea Nini Ikaondoka
Dar ~ Bagamoyo Jiwe Alinunua Kifuko Kizee Kikawa Siku Nzima Kinahaha Baharini
Akakipeleka Jeshini
Ila Jiwe!! Akasema na atakayekijadili ni sawa na anayejadili kifaru cha jeshi🙂 Nafikiri tunahitaji kitabu kikubwa kitakachoelezea vituko vya marais wa Tanzania.
 
Wakati Wa Hayati Mkapa Ilikuwepo Meli Inaitwa Santorino Inatoka Dar Es Salaam ~Mtwara Via Lindi Sijui Kulitokea Nini Ikaondoka
Dar ~ Bagamoyo Jiwe Alinunua Kifuko Kizee Kikawa Siku Nzima Kinahaha Baharini
Akakipeleka Jeshini
Kama ni kifuko lazima kihahe baharini hakiwezi himili upepo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…