Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Nyama yao sio tamu
Ila naskia baraza la simba la tarangire linafikiria waanze kula faru
Shida ni kwamba kiongozi wa simba wa serengeti upande wa mara ana mahusiano na binti wa kifaru
Kuna mkanganyiko kidogo hizo ni za ndani ndani mkuu
Ila naskia baraza la simba la tarangire linafikiria waanze kula faru
Shida ni kwamba kiongozi wa simba wa serengeti upande wa mara ana mahusiano na binti wa kifaru
Kuna mkanganyiko kidogo hizo ni za ndani ndani mkuu