donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Safi sana.sasa kwa kifupi sana hili ni janga lingine kwa vijana kwani hunyausha ini (liver cirhosis) na kushindwa kufanya kazi na baadae tumbo hujaa maji (ascetis) baada hapo unapata multiple organs failure yaani ini.figo na moyo na baadae ni...........USHAURI ACHANA NA KIROBA SAWA