Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Ningependa kufahamu kama huu ni ugonjwa wa TZ tu au labda pia huko Kenya upo kwamba watu hawana kingine cha kufanya isipokuwa kufwatilia Bunge?
I mean, hapa Bongo nchi nzima husimama kipindi Bunge likianza, najua ni kwa sababu Watanzania wengi hawana hobby ndo maana huishi kwa matukio, vipi na Kenya ni hivyo hivyo au watu wana maisha yao nje ya Bunge?
I mean, hapa Bongo nchi nzima husimama kipindi Bunge likianza, najua ni kwa sababu Watanzania wengi hawana hobby ndo maana huishi kwa matukio, vipi na Kenya ni hivyo hivyo au watu wana maisha yao nje ya Bunge?