Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,368
- 7,935
Nauliza tu hivi Mbowe na wenzake wangekuwa wanakula keki ya Taifa angedai katiba mpya?
Mbowe.
Lema.
Lissu.
Upinzani kwa ujumla.
Mbowe.
Lema.
Lissu.
Upinzani kwa ujumla.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huenda humjui Mbowe, wakati Job anachunga ng'ombe Mbowe alikua anamiliki boat ya uvuvi na kusafirisha nje samaki...alikua muaajiriwa wa BOT, Ni mfanyabiashara since 1980's yaani kuna kipi hajala?Mbowe.
Lema.
Lissu.
Upinzani kwa ujumla.
Katiba mpya movement imeanza baada ya kukosa ubunge?Huenda humjui Mbowe, wakati Job anachunga ng'ombe Mbowe alikua anamiliki boat ya uvuvi na kusafirisha nje samaki...alikua muaajiriwa wa BOT, Ni mfanyabiashara since 1980's yaani kuna kipi hajala?
Mbowe na Job wamesoma shule moja Kibaha sec mmoja akiwa A level na mwingine O level.Huenda humjui Mbowe, wakati Job anachunga ng'ombe Mbowe alikua anamiliki boat ya uvuvi na kusafirisha nje samaki...alikua muaajiriwa wa BOT, Ni mfanyabiashara since 1980's yaani kuna kipi hajala?
Nilijua tuu upper class lazima uje unitukane kwa reply hii itoshe kusema kuwa katiba mpya ni kwa maslahi binafsiMtoa hoja hii ni mpumbavu,middle class aliyekulia kwenye pampers sio ngozi,Mr.Mbowe anapigania haki ya wote sio masilahi yake binafsi,elewa Mr.Mbowe amezaliwa na kuishi kwenye top class family!next time shirikisha ubongo wako pls ,kama wewe u having a big slice of OUR cake usifikiri ni wote,huku Lingusenguse ni balaa hata maji salama hatuna!!
Hivi Nyerere angepewa udc na malkia angedai uhuru, hivi wewe ungepewa uwaziri na Samia ungeandika upuuzi huo!Mbowe.
Lema.
Lissu.
Upinzani kwa ujumla.
wewe ungedai? kama ungekuwepo kwenye mfumo?Wasingedai, kama wewe hapo ambavyo hupendi kabisa kusikia tukiipigania Katiba ya Wananchi. Kisa tu uko kwenye mfumo.
usimfananishe mwalimu na upumbavu when it comes to nationalism and patriotism ukome.Hivi Nyerere angepewa udc na malkia angedai uhuru, hivi wewe ungepewa uwaziri na Samia ungeandika upuuzi huo!
Ukishiba mataputapu inatafutiza cha kuandika.
Sasa ningedai vipi na wakati katiba iliyopo inanifanya kuishi maisha ya peponi?wewe ungedai? kama ungekuwepo kwenye mfumo?
Kwa uwezo wa kifedha alionao ungekuwa wewe hata nchi ungehama. So jamaa ni mwanaharakati kwelikweli. Sio mburula kama nyie wa buku5Mbowe.
Lema.
Lissu.
Upinzani kwa ujumla.
Uwezo wa kufikiri hizi figures ni mkubwa kuliko hao unaowategemea na waliotufikisha ktk hali mbaya ya maisha tuliyonayo sasa!Mbowe.
Lema.
Lissu.
Upinzani kwa ujumla.
Kwani before Jpm alikuwa wapi kudai katiba mpya?Kwa uwezo wa kifedha alionao ungekuwa wewe hata nchi ungehama. So jamaa ni mwanaharakati kwelikweli. Sio mburula kama nyie wa buku5
We kumbe bure kabisa madai ya katiba na Tume huru yalikuwepo hata kabla ya JPM unaonekana bonge la kilazaKwani before Jpm alikuwa wapi kudai katiba mpya?
Swala la sisi sote kula keki ya taifa limeanza kuwa la maana sana baada ya kukosa Nafasi bungeni?