Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,368
- 7,935
- Thread starter
- #21
Sawa kiamkaji... kelele zote za katiba mpya ni kuhusu tume huru nma siyo kuhusu matatizo ya wananchi , kuna sehemu watanzania walisema wanataka tume huru?We kumbe bure kabisa madai ya katiba na Tume huru yalikuwepo hata kabla ya JPM unaonekana bonge la kilaza
au ni kikundi kidogo cha watu wenye uchu wa madaraka na sifa binafsi?