Nauliza tu jamani!!

Nauliza tu jamani!!

Kwasababu ameshapata alichokua anakitaka!Hana chakubembelezea tena!Kama mkuu wetu alivyokua na unyenyekevu wa uongo wakati wa kampeni...sasa hivi anatoa majibu ya shoti kati!!Samahani kwa kuingiza siasa mwaya...just tryanna make a point!
 
Napenda kufahamu tatizo linakuwa wapi??

Mnakuwa na mahusiano na mtu mwanamke/mwanaume kabla haMjado ze nidifuli aahhh sms, simu, email nk kwa sana tu lakini mkisha du uwiii mambo yanabadilika hivi ni kwanini?? Hata ile Sweet, My Love, Darling, Dear nk zinakwisha KULIKONI JAMANI???

Hili swali aliwahi kuulizwa jamaa aliyetumia raslimali zake nyingi sana kumpata binti ambaye kila mtu aliamini asingeweza kumpata. Baada ya kumpata hakukuwa na maua, kadi n.k hadi yule binti ikabidi amuulize mbona haoneshwi tena mapenzi "motomoto". Jamaa akajibu kwa msemo "mvuvi hutumia chambo kuvua samaki, akishampata chambo wa nini"?

Sasa sijui kama imechangia kujibu swali au ndio nimekoroga zaidi.
 
Mkjj miye kwa maoni yangu huu mfano wa mvuvi na huyu jamaa aliyekuwa anamfukuzia mtoto ambaye alikuwa haamini kama angempata naona kama haufai. Kwa sababu wengine ukishamfukuzia binti ambaye ulikuwa hauna matumaini ya kumpata sasa na hatimaye ukafanikiwa kumpata basi hapo ndipo unaongeza bidii zaidi ili kujenga penzi lenye nguvu ili asitokee njemba mwingine akamrubuni huyo binti na kuingia mitini. Labda haya ndiyo mapenzi ya akina dot com au mapenzi ya kifisadi. Akishapewa tu basi haonekani tena! anaingia mitini jumla jumla.

Msikie Nelly anavyolalamika baada ya Ashanti kuingia mitini, labda anaweza kumpata tena.

Just A Dream - Nelly | Music Video | VEVO
 
Mkjj miye kwa maoni yangu huu mfano wa mvuvi na huyu jamaa aliyekuwa anamfukuzia mtoto ambaye alikuwa haamini kama angempata naona kama haufai. Kwa sababu wengine ukishamfukuzia binti ambaye ulikuwa hauna matumaini ya kumpata sasa na hatimaye ukafanikiwa kumpata basi hapo ndipo unaongeza bidii zaidi ili kujenga penzi lenye nguvu ili asitokee njemba mwingine akamrubuni huyo binti na kuingia mitini. Labda haya ndiyo mapenzi ya akina dot com au mapenzi ya kifisadi. Akishapewa tu basi haonekani tena! anaingia mitini jumla jumla.

Msikie Nelly anavyolalamika baada ya Ashanti kuingia mitini, labda anaweza kumpata tena.

Just A Dream - Nelly | Music Video | VEVO

Je akimpata demu "mkali" zaidi ya yule wa mwanzo ambaye aliona ndio mwisho. Wanasema wazuri bado hawajazaliwa.
 
Je akimpata demu "mkali" zaidi ya yule wa mwanzo ambaye aliona ndio mwisho. Wanasema wazuri bado hawajazaliwa.

Ndiyo mapenzi ya kifisadi hayo au ya dot com. Siyo kila mzuri umuonaye ni lazima umfukuzie.

 
kweli tunakwenda vice versa, at first jamaa ndio mpigaji, dem akishamkubalia jamaa, ndio anakuwa na hamu ya kucall mara kwa mara wakati huo jamaa hana mpango tena
 
dahh umenifumbua hasa hilo la uko wapi ndo swali langu la kwanza kabla ya yote nitafata ushauri wako
Mimi nawewe tayari tumeshakuwa serikali moja swala kujua nilipo halina nguvu hapa mimi nilipo haijalishi wewe nisubiri nitarudi!
 
Tatizo la baadhi ya mademu ukimshirisha kwenye single moja, yeye anataka mtoe ALBUM pamoja!


hahahahaha.....hapo sasa...ngoja nirudi kaunta! manake na HAKI zote za mauzo ya albamu awe nazo yeye
 
Napenda kufahamu tatizo linakuwa wapi??

Mnakuwa na mahusiano na mtu mwanamke/mwanaume kabla haMjado ze nidifuli aahhh sms, simu, email nk kwa sana tu lakini mkisha du uwiii mambo yanabadilika hivi ni kwanini?? Hata ile Sweet, My Love, Darling, Dear nk zinakwisha KULIKONI JAMANI???

Dena nisamehe, simu haikuwa na credit ya kutosha kubeep.

Ngoja nikupigie!
 
Kama mmesha DO THE NEEDFUL simu na email za kila saa za nini tena?

Tatizo la baadhi ya mademu ukimshirisha kwenye single moja, yeye anataka mtoe ALBUM pamoja!

Umenikumbusha haya mazungumzo;

WIFE: I wish I was a newspaper, so I'd be in your hands all day.
HUSBAND: I wish too that you were a newspaper that I could have a new one everyday!


Nyie watu....................... mnanikatia mawasiliano na mbavu zangu mjue!!
 
Alitaka kujua kilichomo,kishajua hakuna tofauti na pale sasa anatafuta pengine!
Mwache aende huwezi kuzuia huenda akarudi ila hata asiporudi basi!
 
Kila kitu?unamaanisha hata yale ya kinyume na maumbile??? what does kila kitu means?
Michele umeniacha hoi.napenda sana arguments zako natamani siku moja walau japo nkiuone nikupe japo dinner my dear hilo tu.
 
Mwanzoni ni kampeni yakila aina kinafata uchaguzi ukisha chagua inamaana umemkubali kuwa mpenzi wako!kinachofatia ni nikuakikisha kampeni zote zinasitishwa na mimi kama mteule nikufatilia majukumu mengine,mfano nipe laki2,nadaiwa,Kama kodi imeisha,mara nimeona nguo nzuri botique fulani,vitu vinavyo fanana nahivyo na wewe sasa nikuakikisha umkeri kwa simu mara uko wapi nataka kuja haaaa ataboreka kinachotakiwa nikumjulia hali nakumwambia nimekumiss!Yeye atakwambia basi njoo mahali fulani tukutane kweli kama umenimiss!

Kweli tupu kampeni ishaisha mwendo mdundo au sio???
 
Back
Top Bottom