Eng. Smasher
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 745
- 23
ahsante kwa pumba zako.............hebu niwahi majukwaa mengine
songa mbele huko,usichafue hali ya hewa humu...kama hujisikii kujibu topic si unyamaze?:A S 13:
Ni kawaida kwa sisi vijana tuliopanga vyumba kitaa kuleta vimwana wetu RUM then mnadu the nidfull!!!
Swali ambalo huwa najiuliz ni kwamba wakati wanatoka rum na msela wake unakuta wapangaji wenzio wamekaa nje na wanajua nini kilichokuwa kinaendelea, hivi huwa mnajisikiaje????
J'pili njema.
sijakusikia vizuri bi naniliiisonga mbele huko,usichafue hali ya hewa humu...kama hujisikii kujibu topic si unyamaze?:A S 13:
Hiyo kali!Huyo mama mkwe was one of a kind!nikimaliza natoka poa tu" uso wenye furahaaa",nakuta mama mkwe kashaniandalia maji ya kuoga.
nakuta mama mkwe kashaniandalia maji ya kuoga.
mbona poa tu, mi nilikuwa nikimtembelea getto yule cha pombe wangu wa enzi zile, kila mtu nadhani anajua naenda kuduu, kuanzia majirani,mama mkwe, ma wifi,na nikimaliza natoka poa tu" uso wenye furahaaa",nakuta mama mkwe kashaniandalia maji ya kuoga.
Wewe ulitakaje?Fikiria kabla ya kuandika
JF ya 2011...... I reserve my comments
Ni kawaida kwa sisi vijana tuliopanga vyumba kitaa kuleta vimwana wetu RUM then mnadu the nidfull!!!
Swali ambalo huwa najiuliz ni kwamba wakati wanatoka rum na msela wake unakuta wapangaji wenzio wamekaa nje na wanajua nini kilichokuwa kinaendelea, hivi huwa mnajisikiaje????
J'pili njema.