Nauliza tuu!!

Nauliza tuu!!

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
25,190
Reaction score
27,434
Wakuu poleni na mishughuliko ya hapa na pale!mi nilikuwa nauliza tuu hivi ni kwa nini askari polisi kitengo cha F.F.U huwa wanavaaga miwani meusi ile ya kutishatisha???hivi ni kwa nini yaani ukikutana nao hata wakiwa na safari zao unajiskia kukimbia hata kama hauna kosa!!!
 
Wakuu poleni na mishughuliko ya hapa na pale!mi nilikuwa nauliza tuu hivi ni kwa nini askari polisi kitengo cha F.F.U huwa wanavaaga miwani meusi ile ya kutishatisha???hivi ni kwa nini yaani ukikutana nao hata wakiwa na safari zao unajiskia kukimbia hata kama hauna kosa!!!
wewe lazima ni mhalifu tu
 
Hapana bhana mi nimeuliza tyu[emoji134] [emoji134]
 
Wakuu poleni na mishughuliko ya hapa na pale!mi nilikuwa nauliza tuu hivi ni kwa nini askari polisi kitengo cha F.F.U huwa wanavaaga miwani meusi ile ya kutishatisha???hivi ni kwa nini yaani ukikutana nao hata wakiwa na safari zao unajiskia kukimbia hata kama hauna kosa!!!

Binafsi huwa najisikia amani na raha nikutanapo nao wakiwa kwenye miwani
 
Ukiona hivyo jua wewe ni mtoto laini sana.
 
Mungu wangu mkuu umevuka mataa asee yaani mimi laini!!!
 
Asnt kwa kunifariji mkuu ila huyu jamaa daa!!najiskia kama kanigusa tako asee hii ni zarau!
 
Back
Top Bottom