BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 3,353
- 5,800
Una Bei gani upewe wakiliNilikuwa naitwa jina fulani, kutokana na Imani yangu ya Dini,jina nililopewa na wazazi wangu,
Baada ya kubadili Dini,mimechagua jina lingine linaloendani na imani yangu, Sasa nilitaka kubadirisha jina, kwenye cheti cha Nida na Paspoti naomba anayejua utaratibu wake anisaidie, Ninakaa Iringa mjini
mimi mwenyewe wakiliUna Bei gani upewe wakili
Sasa Kwa uelewa wako wewe Wakili unaweza kujiandikia deedpoll na kusaini?mimi mwenyewe wakili
Ya kubrashia viatu plus Nauli na maji ya kunywa na professional fee ya kizalendo kabisaa.......Hiyo laki 2 ni kwa ajili ya nini?
Baki nalo maana hata Paka na Mbwa wana majina pia...mkuu huu mchezo hauitaji hasira..π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ππππππππ€£π€£Yaani jina langu mwenyewe nikulipe 200,000?
Affidavit ni 15500 mkuuUna 200,000 T/sh mfuko wa SHATI..............
Hati ya kiapo mahakamani (avidavit) ni Bure...
Kuandaa DEED POLL ntakuchaji kidogo...
Kwa Wasio fahamu
Deed poll,
A deed poll is a legal document that proves a change of name. You can change any part of your name, add or remove names and hyphens, or change spelling.
Kulipia tangazo kwenye gazeti...malipo ya serikali utalipia kama sikosei 40,000
Kama utakua seriously nicheki nipate hata kipesa Cha kusukuma siku mbili tatu....
Ikikupendeza [emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]
Elfu 20 utamdanganya mkuu.....Mleta mada lete 20,000
Mkuu yΓ an Last born wetu, mke wangu, dada angu tunae fuatana na mumewe wote ni ma learned lawyer πππ€π€Affidavit ni 15500 mkuu
Asipokutambua haiondoi ukweli kwamba yeye ni baba yako. Hiyo siyo sababu ya kubadili jina. Pia umesema kweli kuwa dini haina uhusiano na jina. Kubadili jina kuna usumbufu sana si kwako tu na kwa watoto wako pia. Nisingekushauri kubadili jina. Unaweza ukaongeza jina kwa ajili ya jamii lakini usibadili rasmi kwenye nyaraka!. Kwa mfano wanawake wakiolewa wanaitwa mama fulani. Hiyo mama fulani inabaki kwenye jamii tu lakini jina rasmi kwenye vyeti na vitambulisho anabakiza jina lake. Ila kupanga ni kuchagua!!Jina halina uhusiano na dini.
Ila kama ukoo na wazazi wamekukataa ni vizuri ubadili ili kujitoa kabisa na kukata uhusiano kama wao wanavyotaka.
Hata mimi nina mpango wa kubadili jina kuanzia la ukoo mpaka la kwangu. Ni kwasababu baba yangu hanitambui kama mtoto wake.
Kama mzazi na ukoo wako hawana shida usibadili jina , utapata usumbufu wa bure
Mimi niko kama kibatalaSasa Kwa uelewa wako wewe Wakili unaweza kujiandikia deedpoll na kusaini?
Sasa Kwa uelewa wako wewe Wakili unaweza kujiandikia deedpoll na
Nasubilia mwenye dau dogo ndiyo tufanye naye biashara,ilianza laki 2 sasa hivi alfu 15 twendeni tuMkuu yΓ an Last born wetu, mke wangu, dada angu tunae fuatana na mumewe wote ni ma learned lawyer πππ€π€
Mimi issue za Muhuri kwangu ni Bureee kabisaaaa....
Wachungaji na maaskofu wapo.Ulishawahi kumuona Mchungaji Ramadhani, au Padri ramadhani?
π€£π€£π€£π€£ππππ€£π€£π€£π€£ππππππ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£πππ€£π€£π€£π€£Mimi niko kama kibatala
Nasubilia mwenye dau dogo ndiyo tufanye naye biashara,ilianza laki 2 sasa hivi alfu 15 twendeni tu
Wapo..namfahamu Pr Abdallah Rashid bin Jumaa,namfaham Pr Khalid Sadiq bin MustaphaUlishawahi kumuona Mchungaji Ramadhani, au Padri ramadhani?
Ilikuwaje kuwaje unaweza kutusimulia kidogohuo ni ubini, jina kamili Athumani, nitakubaliwa kwenda kusoma Roma italy kwa hili jina?halafu niitwe Padri Athumani?
Sawa mkuuUna 200,000 T/sh mfuko wa SHATI..............
Hati ya kiapo mahakamani (avidavit) ni Bure...
Kuandaa DEED POLL ntakuchaji kidogo...
Kwa Wasio fahamu
Deed poll,
A deed poll is a legal document that proves a change of name. You can change any part of your name, add or remove names and hyphens, or change spelling.
Kulipia tangazo kwenye gazeti...malipo ya serikali utalipia kama sikosei 40,000
Kama utakua seriously nicheki nipate hata kipesa Cha kusukuma siku mbili tatu....
Ikikupendeza π€π€π€π€π€
Ukibatizwa kua mkristo lazima utapewa jina jipya....huo ni ubini, jina kamili Athumani, nitakubaliwa kwenda kusoma Roma italy kwa hili jina?halafu niitwe Padri Athumani?
20,000 hiyo ni kuandikiwa deedpoll tu.Elfu 20 utamdanganya mkuu.....
maana Kuna malipo ya serikali let's say 40000 Wanalipia Ardhi Kule hapo Bado muhuri wa advocate kwenye kuandaa Avidavit na DEED POLL.....
Pole sana kwa hiyo changamoto.Jina halina uhusiano na dini.
Ila kama ukoo na wazazi wamekukataa ni vizuri ubadili ili kujitoa kabisa na kukata uhusiano kama wao wanavyotaka.
Hata mimi nina mpango wa kubadili jina kuanzia la ukoo mpaka la kwangu. Ni kwasababu baba yangu hanitambui kama mtoto wake.
Kama mzazi na ukoo wako hawana shida usibadili jina , utapata usumbufu wa bure