Bailly5 JF-Expert Member Joined Mar 11, 2015 Posts 16,461 Reaction score 35,218 Apr 9, 2015 #1 hivi ni kweli msimu ujao wa klabu bingwa ulaya uingereza itaingiza timu tatu tu? Manake liverpool alitoka kwenye makundi, arsenal, chelsea na man city walitolewa hatua ya kumi na sita bora.
hivi ni kweli msimu ujao wa klabu bingwa ulaya uingereza itaingiza timu tatu tu? Manake liverpool alitoka kwenye makundi, arsenal, chelsea na man city walitolewa hatua ya kumi na sita bora.
A Aleyn JF-Expert Member Joined Nov 12, 2011 Posts 21,058 Reaction score 36,272 Apr 9, 2015 #2 Itakuwa vizuri kama wataingiza 3 ila wanaweza wakawapendelea tena kutokana na kuingiza pesa. Au huruma za mashabiki tu.
Itakuwa vizuri kama wataingiza 3 ila wanaweza wakawapendelea tena kutokana na kuingiza pesa. Au huruma za mashabiki tu.
Bailly5 JF-Expert Member Joined Mar 11, 2015 Posts 16,461 Reaction score 35,218 Apr 9, 2015 Thread starter #3 ALEYN said: Itakuwa vizuri kama wataingiza 3 ila wanaweza wakawapendelea tena kutokana na kuingiza pesa. Au huruma za mashabiki tu. Click to expand... ngoja tusikilizie
ALEYN said: Itakuwa vizuri kama wataingiza 3 ila wanaweza wakawapendelea tena kutokana na kuingiza pesa. Au huruma za mashabiki tu. Click to expand... ngoja tusikilizie