Nauliza: Wema Sepetu kapungua ubonge?

Donatila

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,772
Reaction score
22,598
Wakuu,

Ni wakati wa kumsema huyu dada yetu mcute maana amekuwa bonge la mama.

Haiwezekani miss wenzie wakina K lyn na Faraja Kotta, Nancy wawe mamiss mpaka leo yeye awe bonge nyanya.

Haiingii akilini kabisa...inamaana ameshindwa kujizuia kula.

Au ni kweli kuwa alitumia masindano kuongeza kalio hewa na sasa zimemfanya awe mbuyu!

Jamani pungua dada...ili muonekano wako uwe mzuri...
 
Hahaha ule ni unene wa ukoo hauoni mama yake alivyo? Hii ni ishara kuwa sasa anazeeka hawezi kubaki vile alivyokuwa na angekuwa amezaa ndo ingekuwa hatari zaidi
 
Naona operation kata utumbo imekubali
 
Kweli habari zimewapita wengi..

Kuna mabadiliko aliyafanyia mwili wake..

Wanaojua zaidi ya niliyoyasoma watamwagika.. napita
Hahaha. coco bhana natamani nikufahamu nikunyonye vidole vyako, eti kafanyiwa mabadiliko kwenye mwili wake hahaha, kawa fuso
 
Hahaha. coco bhana natamani nikufahamu nikunyonye vidole vyako, eti kafanyiwa mabadiliko kwenye mwili wake hahaha, kawa fuso

Eeeeeh
Uninyonye vidole aiseeee hiyo kali.. ndio salamu za kikwenu au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…