Nauliza: Wema Sepetu kapungua ubonge?

Nauliza: Wema Sepetu kapungua ubonge?

Wakuu,

Ni wakati wa kumsema huyu dada yetu mcute maana amekuwa bonge la mama.

Haiwezekani miss wenzie wakina K lyn na Faraja Kotta, Nancy wawe mamiss mpaka leo yeye awe bonge nyanya.

Haiingii akilini kabisa...inamaana ameshindwa kujizuia kula.

Au ni kweli kuwa alitumia masindano kuongeza kalio hewa na sasa zimemfanya awe mbuyu!

Jamani pungua dada...ili muonekano wako uwe mzuri...
halafu faida ya muonekano wake ni nini mkuu, huyu ni kati ya watu wasiokuwa na faida ya ustar wao anahangaika tu kama anataka kujifungua kila anachofanya hakieleweki mara siasa mara biashara yaani ovyo ovyo tu sijui haoini wenzake wanachokifanya.

wanaomzunguka nao wapuuzi tu.
 
Wema bwana nampendaga huyu Dada lakini!daaahh!bora akili kuliko uzuri
 
Wakuu,

Ni wakati wa kumsema huyu dada yetu mcute maana amekuwa bonge la mama.

Haiwezekani miss wenzie wakina K lyn na Faraja Kotta, Nancy wawe mamiss mpaka leo yeye awe bonge nyanya.

Haiingii akilini kabisa...inamaana ameshindwa kujizuia kula.

Au ni kweli kuwa alitumia masindano kuongeza kalio hewa na sasa zimemfanya awe mbuyu!

Jamani pungua dada...ili muonekano wako uwe mzuri...
Tena wenzake hao wengine wameshaingia leba zaidi ya mara moja bado wanaonekana[emoji108]
 
Nasikia kakatwa utumbo..Kuweni makini wala supu utumbo
 
Back
Top Bottom