He???
nichambeni mnavyoweza.......!!!!
nadhani ajauliza, ametoa mtazamo wake tu!Unauliza nn?
Ww umenielewa hao wengine wanapiga kelele tuuunadhani ajauliza, ametoa mtazamo wake tu!
Ndio kwasbb humu kuna watu wakali na mm naogopa watu wakaliMbona unawaza kuchambwa chambwa tu kila uzi wako kuna hilo neno.?
Joseverest nahisi utakuwa na muonekano huu.Oyoooo asante kwa kutupigia chapuo kama sio promo WANAUME WAREFU
umepatia namba 2 hizo nyingine NEGATIVEJoseverest nahisi utakuwa na muonekano huu.
1) Mfupi
2)Mweupe kiasi/maji ya kunde.
3)Unapendelea kuvaa suruali za vitambaa na pana kiasi.
4)Umekomaa komaa
5)Mbishi sana.
6)Una kaji upara kakishkaji.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Joseverest nasubiri comment yako hapaJoseverest nahisi utakuwa na muonekano huu.
1) Mfupi
2)Mweupe kiasi/maji ya kunde.
3)Unapendelea kuvaa suruali za vitambaa na pana kiasi.
4)Umekomaa komaa
5)Mbishi sana.
6)Una kaji upara kakishkaji.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
#16 hapoJoseverest nasubiri comment yako hapa
Hapo namba 6 nimeingia chaka.umepatia namba 2 hizo nyingine NEGATIVE
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mimi ninavyohisi Jose yupo kama jotiHapo namba 6 nimeingia chaka.
Ila suala la urefu aisee nina uhakika we jamaa ni kiemolo sana.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]