Prince Funny
Member
- Feb 14, 2015
- 7
- 0
Naulizia mwenye kuifahamu vizuri Biashara ya kukodisha Tractor kwa kulimia, wakulima anieleweshe taratibu zake. Nataka kufanya Biashara hii, Ni mikoa gani inalipa sana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naulizia mwenye kuifahamu vizuri Biashara ya kukodisha Tractor kwa kulimia, wakulima anieleweshe taratibu zake. Nataka kufanya Biashara hii, Ni mikoa gani inalipa sana?
Naifanya hiyo biashara ni nzuriasana ila inataka uwepo mwenyewe au umpate mtu muaminifu zaidi ya Malaika ila ni biashara nzuri na pia Inategemea aina ya tractor.sijajua tractor yako ni aina gani maana unaweza kununua tractor ukawapa watu lawama watakao isimamia nijibu hapo halafu nifunguke zaidi ni aina gani ya tractor na unampa mtu asimamie au wewe
Nategemea kununua Massey 440 . ninaconection UK. Hivyo naiagiza tokea huko na ninataka kuifanya mwenyewe
Thanks for info kiogwe. Ila ninaswali jingine je hizi model ulizotaja zinatumiaje mafuta kwa heka? Na kwasiku zinaweza kulima heka ngapi? Na je service zake baada ya masaa mangapi na kiasi gani?
Ili tractor ikulipe vizuri inatakiwa isizidi lita 4 kwa hekari moja na kwa hekari inategemea na udongo mfano kwa Ifakara na Mahenge inatakiwa upate heka zisizopungua 20 kwa siku na jitahidi hata wafanye kwa masaa 16 kwa siku na kwa tractor used inaweza bila shida ila kwa hizi za jeshi za kilimo kwanza nazani haziwezi sina uhakika sana.servise inategemea na aina gani ya oil unatumia km unatumia oil mbovu masaa ya servise yatapungua mimi natumia total oil kwa udongo mzito nabadili oil kwa heka mia na hamsini kwa udongo mwepesi nabadili kwa heka mia 2