Naulizia hiki kifaa kwa mafundi umeme

Naulizia hiki kifaa kwa mafundi umeme

Khalid91

Member
Joined
Feb 2, 2020
Posts
61
Reaction score
43
Kwa wale wajuzi eti kuna kifaa ambacho kinaweza kudivert umeme kila mpangaji akawa anatumia umeme wake na ukakata kivyake tofauti na kuweka luku?
 
Kwa wale wajuzi eti kuna kifaa ambacho kinaweza kudivert umeme kila mpangaji akawa anatumia umeme wake na ukakata kivyake tofauti na kuweka luku?
Kipo ila hakiwezi kukata kinahesabu units unaotumi wewe tuu. Kinaitwa miter separator
 
Kipo ila hakiwezi kukata kinahesabu units unaotumi wewe tuu. Kinaitwa miter separator
Unaweza kuweka cut out kama hapo inavyoonekana . Kwa mtu msumbufu wa kuweka umeme mnamchomolea tu cut out yake
IMG-20200219-WA0005.jpeg
 
Back
Top Bottom