Naulizia kampuni ya kusafirisha mizigo kwenda Congo tafadhali

Naulizia kampuni ya kusafirisha mizigo kwenda Congo tafadhali

KIOO

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2013
Posts
6,235
Reaction score
5,854
Habari za hapa Jamvini wakuu.

Natumai mu-wazima kabisa na bila ya kupoteza muda ningependa kueleza shida niliyo nayo ni kama MADA inavyosema kuwa nahitaji kampuni itayoweza kusafirisha mizigo kwenda Congo.

Ningependa kujua taratibu za usafirishaji pamoja na charges zake pia zikoje,mzigo unaosafirishwa ni maziwa ya unga mfano wa COWBELL bag ya 25kg kwa bags 200.

Yeyote mwenye kufaham au mwenye kampuni ya kusafirisha ningependa kufaham yaliyoainishwa hapo juu tafadhali,KARIBUNI.
 
Kimya wakuu...!.
 
huo mzigo mdogo,kupata transporter wa magari makubwa kama semi ni ishu,kwani mengi yanatoka bandarini na mzigo full,hawawezi ongeza mwingine juu kwa kuhofia mzani.
labda utafute fuso
 
Habari za hapa Jamvini wakuu.

Natumai mu-wazima kabisa na bila ya kupoteza muda ningependa kueleza shida niliyo nayo ni kama MADA inavyosema kuwa nahitaji kampuni itayoweza kusafirisha mizigo kwenda Congo.

Ningependa kujua taratibu za usafirishaji pamoja na charges zake pia zikoje,mzigo unaosafirishwa ni maziwa ya unga mfano wa COWBELL bag ya 25kg kwa bags 200.

Yeyote mwenye kufaham au mwenye kampuni ya kusafirisha ningependa kufaham yaliyoainishwa hapo juu tafadhali,KARIBUNI.

Kuna hawa mabwana, ni wasafirishaji wasiliana nao,ila sijajua uko mkoa gani
 

Attachments

  • yaate.JPG
    yaate.JPG
    7.5 KB · Views: 386
huo mzigo mdogo,kupata transporter wa magari makubwa kama semi ni ishu,kwani mengi yanatoka bandarini na mzigo full,hawawezi ongeza mwingine juu kwa kuhofia mzani.
labda utafute fuso

Asante mkuu kwa ushirikiano wako kiongozi na je ukiacha haya yanayotoka bandarini full,nadhani pia kuna kampuni tofauti tofauti huwa zinasafirisha mizigo ya mtu zaidi ya mmoja kwa pamoja hata hizo zinatosha si lazma nikodi gari zima ili nijue wata-charge kiasi gani.

Na kama ulivyosema nichukue fuso nafkiri wengi wao huwa wanasafirisha ndani ya nchi let say Kigoma na mikoa tofauti nafkiri zipo ambazo zina vibali maaalum kwenda nchi jirani na sidhani kama inawezekana tu kuchukua fuso lolote na kusafirisha mzigo hata kama kibali chake hakimruhusu kusafirisha nchi jirani, HIYO IKO VIPI WAKUU ?.
 
Kuna hawa mabwana, ni wasafirishaji wasiliana nao,ila sijajua uko mkoa gani

Shukran kiongozi mi niko Dar na mzigo unatokea Dar pia nimeona hiyo attachment hapo kiongozi naona kuna phone number na P.o.box na jina la Kampuni tu hakuna details zozote zinazoihusu kampuni husika.....................mi niko Dar kiongozi labda sjui pengine unawafaham hao jamaa au umewakuta tu mtandaoni kiongozi ?,SHUKRAN.
 
Shukran kiongozi mi niko Dar na mzigo unatokea Dar pia nimeona hiyo attachment hapo kiongozi naona kuna phone number na P.o.box na jina la Kampuni tu hakuna details zozote zinazoihusu kampuni husika.....................mi niko Dar kiongozi labda sjui pengine unawafaham hao jamaa au umewakuta tu mtandaoni kiongozi ?,SHUKRAN.

Mimi ni Architect, nilipata kuwachorea moja ya yard zao za kupaki Horses(vichwa vya truck) na kusimamia ujenzi wake...kwa hiyo ni watu naowafahamu! Yaate ni kifupisho cha Yasin Abdul Tengegu ambaye ni director! Kuweka namba za simu maanayake upige ditails nyingine watakupa maana kampuni mbali na transportation wanajihusisha na kazi nyingine! Wapo Sinza - Sekilango RD ukitokea sheli ya Puma(zamani BP) Kabla hujafika Mugabe kuna Jengo la ghorofa upande wa kushoto lenye vioo upande wa mbele! Wako floor ya nne/tano kama kumbu kumbu hazijaniendea kushoto
 
Jaribu kuwapigia hawa jamaa 0786 307 799 kampuni inaitwa aglogistics kama sikosei
 
Mimi ni Architect, nilipata kuwachorea moja ya yard zao za kupaki Horses(vichwa vya truck) na kusimamia ujenzi wake...kwa hiyo ni watu naowafahamu! Yaate ni kifupisho cha Yasin Abdul Tengegu ambaye ni director! Kuweka namba za simu maanayake upige ditails nyingine watakupa maana kampuni mbali na transportation wanajihusisha na kazi nyingine! Wapo Sinza - Sekilango RD ukitokea sheli ya Puma(zamani BP) Kabla hujafika Mugabe kuna Jengo la ghorofa upande wa kushoto lenye vioo upande wa mbele! Wako floor ya nne/tano kama kumbu kumbu hazijaniendea kushoto

Mkuu hao Yaate sio msaada kwake.Yaate anasafirisha mizigo iliyo ktk ma container zaidi zaidi akienda hapo watamfanyia udalari watamtafutia fuso.kuna mdau kasema atafute Fuso ni kweli hebu nenda pale kurasini shimo la udongo uliza yard ya malawi cargo huwa kuna wafanyabiashara wa nchi mbalimbali wanaponunua mzigo huwa wanachanga na kusafirishwa na gari 1 ni madalari flani lakini ndio msaada wako upo hapo.hata kama si hapo utaelekezwa uende wapi
 
Mimi ni Architect, nilipata kuwachorea moja ya yard zao za kupaki Horses(vichwa vya truck) na kusimamia ujenzi wake...kwa hiyo ni watu naowafahamu! Yaate ni kifupisho cha Yasin Abdul Tengegu ambaye ni director! Kuweka namba za simu maanayake upige ditails nyingine watakupa maana kampuni mbali na transportation wanajihusisha na kazi nyingine! Wapo Sinza - Sekilango RD ukitokea sheli ya Puma(zamani BP) Kabla hujafika Mugabe kuna Jengo la ghorofa upande wa kushoto lenye vioo upande wa mbele! Wako floor ya nne/tano kama kumbu kumbu hazijaniendea kushoto

Mkuu shukran sana kwa msaada wako nilibanwa sana leo hivyo hata sikupata nafasi ya kuingia jukwaani ndio napata hii msg hapa nta-check nao nijue watanisaidia vipi kiongozi wangu,THANK YOU SO MUCH !.
 
Mkuu hao Yaate sio msaada kwake.Yaate anasafirisha mizigo iliyo ktk ma container zaidi zaidi akienda hapo watamfanyia udalari watamtafutia fuso.kuna mdau kasema atafute Fuso ni kweli hebu nenda pale kurasini shimo la udongo uliza yard ya malawi cargo huwa kuna wafanyabiashara wa nchi mbalimbali wanaponunua mzigo huwa wanachanga na kusafirishwa na gari 1 ni madalari flani lakini ndio msaada wako upo hapo.hata kama si hapo utaelekezwa uende wapi

Mkuu nashkuru kiongozi wanasafirisha containers peke yake au na mizigo mingine mkuu ulishawahi ku-deal nao kiongozi ?.

Na hawa malawi cargo hakuna mtu wa karibu ambaye anaweza kuwa na contacts zao nijaribu kuongea nao mkuu ?.

Thanks In Advance.
 
Jaribu kuwapigia hawa jamaa 0786 307 799 kampuni inaitwa aglogistics kama sikosei

Nashkuru sana kiongozi kwa msaada wako wa namba ya simu ntakupa feedback mkuu,SHUKRAN.
 
Habari za hapa Jamvini wakuu.

Natumai mu-wazima kabisa na bila ya kupoteza muda ningependa kueleza shida niliyo nayo ni kama MADA inavyosema kuwa nahitaji kampuni itayoweza kusafirisha mizigo kwenda Congo.

Ningependa kujua taratibu za usafirishaji pamoja na charges zake pia zikoje,mzigo unaosafirishwa ni maziwa ya unga mfano wa COWBELL bag ya 25kg kwa bags 200.

Yeyote mwenye kufaham au mwenye kampuni ya kusafirisha ningependa kufaham yaliyoainishwa hapo juu tafadhali,KARIBUNI.

Kama ni bags 200,unaweza kuchukua hata Fuso ambayo ni Transit,na kama ni macontainer nitwangie 0687089078
 
Asante mkuu kwa ushirikiano wako kiongozi na je ukiacha haya yanayotoka bandarini full,nadhani pia kuna kampuni tofauti tofauti huwa zinasafirisha mizigo ya mtu zaidi ya mmoja kwa pamoja hata hizo zinatosha si lazma nikodi gari zima ili nijue wata-charge kiasi gani.

Na kama ulivyosema nichukue fuso nafkiri wengi wao huwa wanasafirisha ndani ya nchi let say Kigoma na mikoa tofauti nafkiri zipo ambazo zina vibali maaalum kwenda nchi jirani na sidhani kama inawezekana tu kuchukua fuso lolote na kusafirisha mzigo hata kama kibali chake hakimruhusu kusafirisha nchi jirani, HIYO IKO VIPI WAKUU ?.

Fuso za kwenda Transit zipo
 
Kama ni bags 200,unaweza kuchukua hata Fuso ambayo ni Transit,na kama ni macontainer nitwangie 0687089078

Nashkuru kiongozi i hope utakuwa kwenye hiyo sekta mkuu huwezi kosa connection ya mtu wa trip kama hizo kiongozi una namba ya mtu mwenye hizo gari ambazo ni transit unisaidie mkuu ?.


Fuso za kwenda Transit zipo
 
Nashkuru kiongozi i hope utakuwa kwenye hiyo sekta mkuu huwezi kosa connection ya mtu wa trip kama hizo kiongozi una namba ya mtu mwenye hizo gari ambazo ni transit unisaidie mkuu ?.

Piga kesho mchana
 
Last edited by a moderator:
faby Enny msaada wakuu...!.

Mkuu sio utaratibu wa JAMII FORUM kuleta uzi kwa kitumia ID mbili ili kuleta matangazo ya biashara.huyu KIOO ndio HORSE SHOE ARCH ameingia na huu uzi ili kuitangaza kampuni ya YAATE huu uzi ni wa kipuuzi sana Mods tafadhari ondoa hii na huyu Kioo ban inamuhusu
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Kioo huyo Yasini unaeitangaza kampuni yake namjua vizuri toka yupo GANGILONGA kabla hata hajaanza hiyo biashara yake chafu ya kutuharibia vijana na baadhi yao hadi leo wamefungwa huko China.hayo malori anayatumia km kichaka tu ukitaka nifunguke zaidi utamponza huyo mtu wako na ukibisha ntaleta habari ya ile skendo yake ya Tunduma.sio utaratibu kujianzishia uzi na Id mbili ili ufanye tangazo unawasumbua watu wanajadili uzi wako kumbe ni Tangazo .ukibisha naleta ile habari na vithibitisho vya ile skendo yake
 
Back
Top Bottom