malenga wetu
JF-Expert Member
- Jan 31, 2013
- 283
- 198
Habari za hapa Jamvini wakuu.
Natumai mu-wazima kabisa na bila ya kupoteza muda ningependa kueleza shida niliyo nayo ni kama MADA inavyosema kuwa nahitaji kampuni itayoweza kusafirisha mizigo kwenda Congo.
Ningependa kujua taratibu za usafirishaji pamoja na charges zake pia zikoje,mzigo unaosafirishwa ni maziwa ya unga mfano wa COWBELL bag ya 25kg kwa bags 200.
Yeyote mwenye kufaham au mwenye kampuni ya kusafirisha ningependa kufaham yaliyoainishwa hapo juu tafadhali,KARIBUNI.
Ingia humu DOLPHINS LOGICS