Naulizia most trusted online shopping site ya bidhaa za Uturuki

Mkuu migogoro yako na watu umemaliza?? Maana una tuhuma nyingi sana yani.
Huyo hawezi kukujibu. Hata mimi kuna jamaa nili-mdirect kwake, mpaka leo hajapata mzigo wake.

Ni tapeli kama matepeli wengine wa tuma kwa namba hii.
 
Huyo hawezi kukujibu. Hata mimi kuna jamaa nili-mdirect kwake, mpaka leo hajapata mzigo wake.

Ni tapeli kama matepeli wengine wa tuma kwa namba hii.
Duh, hebu ngoja tusikir ufafanuzi yoka kwake.

Mm nilishawahi kutoa pesa kwake kwa Skrill $800 nikaipata, Ila ni muda mrefu sasa sijamtumia, ilikuamwaka 2018 hivi...

Mwl.RCT
 
Anayejua utaratibu wa kwenda kufunga mzigo Zambia naomba msaada wa maelekezo ya utaratibu wake tafadhali
 
Huyo hawezi kukujibu. Hata mimi kuna jamaa nili-mdirect kwake, mpaka leo hajapata mzigo wake.

Ni tapeli kama matepeli wengine wa tuma kwa namba hii.
Mimi niliwahi kumtumia Mwl.RCT kuagiza bidhaa fulani kwa laki na nusu, aliniambia nitapata baada ya wiki tatu. Lakini mzigo ule niliupata kabla ya hizo wiki tatu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…