Boss huyo
Mwl.RCT Mimi kwake nimesha agiza vitu vingi zaidi ya USD15,000 Kwa Mara moja...
Nabado Uzi wake una endelea hauna kashfa ule Uzi na unge kuwa wa kitapeli jf wange ufunga...
Ktk watu ma elfu ndani na nje ya tz anao wahudumia na ofisi zake zina fahamika zilipo, je ulichukua hatua gani kumtafuta au kufika ofisini kwake?
Watu wana kuangalia na kusikitika sababu wengi wametumia huduma yake na mrejesho ni chanya...
Mimi nimetuma USD 15,000 na mzigo nililetewa nyumbani, TBS sijui tra zote kafanya yeye Mimi nimemlipa gharama tu ktk a/c yake ya equity bank ya USD
Simjui sija wahi onana nae... Watu wana fika wana sema mzigo tumeagizwa na mwalimu tukuletee...
Elezea kinaga ubaga, mwalimu nilikulipa ushahidi huu lakini huduma sjapata, nimefanya juhudi kadhaa kukutafuta lakini una nikwepa, ushahidi ni huu hapa na majibu uliyo nipatia si ya kiungwana...
Wewe una kuja una weka taarifa haina mbele wala nyuma...
Nenda ktk Uzi wake, kaangalie nimeagiza bidhaa na nimepokea nyingi tu, na ikiwapo huo mzigo wa mamilioni... Na wengine wana endelea kuagiza...
Si shabikii utapeli, ila elezea kinaga ubaga na yawezekana hata jf na wadau wengine waka kusaidia...