Alafu issue nyingine sio lazima ufungue uzi, matumizi mabaya ya JF
J4 na ijumaa... Ukitoka chuga ww shuka memorial... Ijumaa vitoto vya shule vingi especially vya mosh technical na karanga secondary...lkn bei ni nzuri Sana hutojutiaHili soko huwa linakua ni siku gani limechangamka?nahitaji kwenda huko kununua nguo na viatu watu wanalisifia sana hapa moshi na arusha ila sijawahi kufika
Unashuka kituo gani kwa mtu anayetokea arusha???
Na huwa ni siku gani linakua limechangamka?